AdPower Tanzania
Member
- Feb 4, 2022
- 15
- 17
UTANGULIZI
Masaaki Imai Mkufunzi wa kijapan wa mifumo ya ubora maarufu kama “kaizen” aliwahi kusema “siku moja isipite bila kuhakikisha kuna mahali umeboresha katika kazi/ chombo chako na maisha yako.Hata kama ni padogo kiasi gani.
⛽ Kwa miaka mingi vyombo vya moto vinavyoingia nchini mwetu kutoka UK na Japan ni “USED” maana yake sio vipya na uimara wake umepungua kiasi, haswa kwenye maeneo ya Engine na Body.
⛽ Ulaji wa wa mafuta katika magari haya huwa tofauti na lilivyokuwa jipya (Brand New). Na sababu kubwa sana inayochangia ulaji wa mafuta kwenye gari ni ufanisi katika mifumo ya hewa na kusababisha kuwa na mlipuko hafifu wa engine *(incomplete combustions).
🚨 Dalili za incomplete combustions ni pamoja na gari kuwa zito,kutoa moshi wa ukaa,kukosa accelerations nzuri na kula mafuta.
⛽ Mafuta yana gharama kubwa sana kwa mwaka na wengi wetu hatufahamu gharama halisi ya matumizi yetu.
⛽ Hebu fikiria kidogo tu kwamba gari yako inaenda service kila baada ya kilometa 4000 na gari lako lina uwezo wa 1300cc-1500cc na linatumia lita 1 kwa kilometa 12 (12km/litre)
FACTS NI HIZI:
🚥 Baada ya km 3000 utakuwa umetumia wastani wa lita 250 (3000/12)
🚥 Kwa gari hilo hilo ukipata kifaa cha kukuwezesha kufika Km15/Litre utatumia wastani wa lita 200 .(3000/15)
🚥 Ukitoa Lita za awali 250 na lita 200 unapata lita 50 ziada ambazo ni sawa na wastani wa Tsh. 123,700 kwa bei ya mafuta.(Tsh 2,474 kwa petrol)
🚥 Kama unaenda service mara 4 kwa mwaka maana yake unaokoa TZS ngapi? Tsh. 123,700*4= Tsh. 494,800 kwa mwaka.hizi ni sawa na lita 200
🚥 Kwa miaka mitano unaokoa lita ngapi? Kwa miaka 10 ya umiliki wa gari lako je?
TEKNOLOJIA KUTOKA JAPAN
Chuo kikuu cha Tokai University Faculty of Engineering, walifanya utafiti baada ya kugundua magari mengi yanachangia ukaa katika Dunia,na haswa katika nchi zinazoendelea.
Hapo ndipo walipogundua Teknolojia ya AdPower ambayo ni kifaa kinachowekwa katika mfumo wa hewa wa gari ili kufanya mlipuko kamili (100%complete combustions).
Kumbuka moshi unaotoka baada ya mlipuko katika engine ni matokeo ya kutokuwa na mlipuko kamili haswa kutokana na uchakavu katika mfumo wa hewa wa gari.Teknolojia hii inaongeza uhai wa engine yako na kusafisha hewa ya ukaa itokayo katika gari yako.
Pia utaona faida ya kupungua kwa ulaji wa mafta wa gari lako hadi kwa asilimia 30% kulingana na ubora wa gari lako.
Teknolojia hii hufanya kazi kwa magari ya Petroli na Diesel na imejaribiwa na mamlaka za Japan kama Japan Automobile Transport Technology Association.
Miongoni mwa faida za mapema utakazozipata ni pamoja na:
JINSI YA KUUNGANISHA ADPOWER KWENYE MFUMO WA GARI YAKO (VIDEO)
JINSI YA KUPATA ADPOWER YAKO
MAWASILIANO
Piga Simu: 0747 786 304
Whatsapp(bofya link): [(0747 786 304)
BEI ZA ADPOWER
Download Document ya Gharama: https://bit.ly/adpower-bei
AdPower Tanzania.
Masaaki Imai Mkufunzi wa kijapan wa mifumo ya ubora maarufu kama “kaizen” aliwahi kusema “siku moja isipite bila kuhakikisha kuna mahali umeboresha katika kazi/ chombo chako na maisha yako.Hata kama ni padogo kiasi gani.
⛽ Kwa miaka mingi vyombo vya moto vinavyoingia nchini mwetu kutoka UK na Japan ni “USED” maana yake sio vipya na uimara wake umepungua kiasi, haswa kwenye maeneo ya Engine na Body.
⛽ Ulaji wa wa mafuta katika magari haya huwa tofauti na lilivyokuwa jipya (Brand New). Na sababu kubwa sana inayochangia ulaji wa mafuta kwenye gari ni ufanisi katika mifumo ya hewa na kusababisha kuwa na mlipuko hafifu wa engine *(incomplete combustions).
- Kumbuka mlipuko wa Engine ndio huipa gari mwendo “energy”.Na mlipuko unapokuwa hafifu ni sawa na kupika chakula na kuni mbichi, utaivisha chakula kwa muda mrefu na moshi utakuwa mwingi sana. Ndivyo ilivyo pia katika gari yako.
🚨 Dalili za incomplete combustions ni pamoja na gari kuwa zito,kutoa moshi wa ukaa,kukosa accelerations nzuri na kula mafuta.
⛽ Mafuta yana gharama kubwa sana kwa mwaka na wengi wetu hatufahamu gharama halisi ya matumizi yetu.
⛽ Hebu fikiria kidogo tu kwamba gari yako inaenda service kila baada ya kilometa 4000 na gari lako lina uwezo wa 1300cc-1500cc na linatumia lita 1 kwa kilometa 12 (12km/litre)
FACTS NI HIZI:
🚥 Baada ya km 3000 utakuwa umetumia wastani wa lita 250 (3000/12)
🚥 Kwa gari hilo hilo ukipata kifaa cha kukuwezesha kufika Km15/Litre utatumia wastani wa lita 200 .(3000/15)
🚥 Ukitoa Lita za awali 250 na lita 200 unapata lita 50 ziada ambazo ni sawa na wastani wa Tsh. 123,700 kwa bei ya mafuta.(Tsh 2,474 kwa petrol)
🚥 Kama unaenda service mara 4 kwa mwaka maana yake unaokoa TZS ngapi? Tsh. 123,700*4= Tsh. 494,800 kwa mwaka.hizi ni sawa na lita 200
🚥 Kwa miaka mitano unaokoa lita ngapi? Kwa miaka 10 ya umiliki wa gari lako je?
TEKNOLOJIA KUTOKA JAPAN
Chuo kikuu cha Tokai University Faculty of Engineering, walifanya utafiti baada ya kugundua magari mengi yanachangia ukaa katika Dunia,na haswa katika nchi zinazoendelea.
Hapo ndipo walipogundua Teknolojia ya AdPower ambayo ni kifaa kinachowekwa katika mfumo wa hewa wa gari ili kufanya mlipuko kamili (100%complete combustions).
Kumbuka moshi unaotoka baada ya mlipuko katika engine ni matokeo ya kutokuwa na mlipuko kamili haswa kutokana na uchakavu katika mfumo wa hewa wa gari.Teknolojia hii inaongeza uhai wa engine yako na kusafisha hewa ya ukaa itokayo katika gari yako.
Pia utaona faida ya kupungua kwa ulaji wa mafta wa gari lako hadi kwa asilimia 30% kulingana na ubora wa gari lako.
Teknolojia hii hufanya kazi kwa magari ya Petroli na Diesel na imejaribiwa na mamlaka za Japan kama Japan Automobile Transport Technology Association.
Miongoni mwa faida za mapema utakazozipata ni pamoja na:
- Kuongezeka kwa msukumo wa gari( gari kuwa nyepesi)
- Kuongezeka kwa spidi ya haraka
- Kuwezesha gari kupanda mlima kwa ufanisi
- Gari kuongezeka nguvu na engine kuwa smooth and silent
JINSI YA KUUNGANISHA ADPOWER KWENYE MFUMO WA GARI YAKO (VIDEO)
JINSI YA KUPATA ADPOWER YAKO
MAWASILIANO
Piga Simu: 0747 786 304
Whatsapp(bofya link): [(0747 786 304)
BEI ZA ADPOWER
Download Document ya Gharama: https://bit.ly/adpower-bei
AdPower Tanzania.