AdPower Tanzania
Member
- Feb 4, 2022
- 15
- 17
- Thread starter
-
- #21
Usisumbuke bidhaa zipo Tanzania,zipo Kenya na kwingineko. AdPower wameamua kuondoa biashara mitandaoni na kufanya B2B kwa sasa. mojawapo ni kupunguza product immitations . Ni vyema ukajaribu product then ukaja kuhadithia hapa product efficacy yake.Ajabu sana huko Japan inakotengenezwa Amazon.co.jp wanasema "not currently available", lakini huku Tanzania wewe unafanya biashara.
Hata eBay, duka la adpower-global wamewauzia watu siyo zaidi ya 3 (watatu), na hawana stock.
Yes ni product mpya hii na ambayo ipo sokoni mwaka wa tatu by now.Amazon mtu yeyote anaweza kuuza chochote.
Hiyo link ya UN ni kwa product tofauti (spray), siyo hiyo sticker.
Kama hii teknolojia inakubalika sana, kwanini used cars karibia yote kutoka Japan hayana hii sticker kwenye air intake? Jibu ni,: Wajapani wenyewe hawajaikubali na ndiyo maana utaona kwenye website ya kampuni marketing ipo targeted nchi za dunia ya tatu kwenye wajinga wengi.
Labda upate uelewa kwanza,used cars is for export. Huweki Adpower kwa gari mpya bali gari ambazo tayari mfumo wake umeanza kuchakaa(chakavu). Huwezi kuona AdPower kwa sasa ila nadhani utaziona very soon kwasababu hawa wana awards japan. Na japan wana reviews nyingi na za kutosha. Its a new inventions so its need time to take off and be all over,same as the first entry of every technology..its starts as threat,....Amazon mtu yeyote anaweza kuuza chochote.
Hiyo link ya UN ni kwa product tofauti (spray), siyo hiyo sticker.
Kama hii teknolojia inakubalika sana, kwanini used cars karibia yote kutoka Japan hayana hii sticker kwenye air intake? Jibu ni,: Wajapani wenyewe hawajaikubali na ndiyo maana utaona kwenye website ya kampuni marketing ipo targeted nchi za dunia ya tatu kwenye wajinga wengi.
Wanauza hiyo bidhaa kwenye website yao wenyewe. eBay wana presence lakini hawana stock na wamewauzia watu 3 tu hadi sasa. Amazon.jp.co wamewauzia watu wachache sana na product status ni "currently unavailable". Kama una product nzuri na innovative, itajiuza. MImi naona hii ni kama zile motor chemicals Liqui Moly, Total, na kampuni kibao wanauza kwa gharama kubwa wakidai zita improve hiki na kile, lkn at best it's a total waste of money.Usisumbuke bidhaa zipo Tanzania,zipo Kenya na kwingineko. AdPower wameamua kuondoa biashara mitandaoni na kufanya B2B kwa sasa. mojawapo ni kupunguza product immitations . Ni vyema ukajaribu product then ukaja kuhadithia hapa product efficacy yake.
Kama kweli unataka ku-prove kwa watu kwamba ni waste of money, then prove it kwa kutumia wewe mwenyewe ... Tumeshakuelezea kuwa adpower-global wameacha kuuza online wanafanya b2b kwa sasa, still unashindwa kuelewa.Wanauza hiyo bidhaa kwenye website yao wenyewe. eBay wana presence lakini hawana stock na wamewauzia watu 3 tu hadi sasa. Amazon.jp.co wamewauzia watu wachache sana na product status ni "currently unavailable". Kama una product nzuri na innovative, itajiuza. MImi naona hii ni kama zile motor chemicals Liqui Moly, Total, na kampuni kibao wanauza kwa gharama kubwa wakidai zita improve hiki na kile, lkn at best it's a total waste of money.
More proof ; AdPower-Global wanauza kwa other Businesses.Wanauza hiyo bidhaa kwenye website yao wenyewe. eBay wana presence lakini hawana stock na wamewauzia watu 3 tu hadi sasa. Amazon.jp.co wamewauzia watu wachache sana na product status ni "currently unavailable". Kama una product nzuri na innovative, itajiuza. MImi naona hii ni kama zile motor chemicals Liqui Moly, Total, na kampuni kibao wanauza kwa gharama kubwa wakidai zita improve hiki na kile, lkn at best it's a total waste of money.
Screenshot kutoka website ya adpower-globalKama kweli unataka ku-prove kwa watu kwamba ni waste of money, then prove it kwa kutumia wewe mwenyewe ... Tumeshakuelezea kuwa adpower-global wameacha kuuza online wanafanya b2b kwa sasa, still unashindwa kuelewa.
Naomba ulete proof hapa kwa kujaribu wewe mwenyewe na sio maneno tu.
Huo ni uamuzi wako Boss, hatujalazimisha mtu kukunua our products kama unaona huna uwezo isiwe sababu ya kutoa negatives.Kwa bei ya sticker 2, bora nibadiishe ignition plugs na kununua air filter mpya.
ok then do that!Nikiamua kununua bora niagize directly kutoka Japan. Ni much cheaper plus shipping is free.
Huo ndo uamuzi WA busara kuliko kujaribu kuharibu tangazo la mwenzioNikiamua kununua bora niagize directly kutoka Japan. Ni much cheaper plus shipping is free.
Na uongo juu[emoji3][emoji3] picha za ku downloadNimeagiza direct from adpower-global kutoka Tokyo, Japan leo nimepata mzigo.
Huwezi amini nimeagiza tarehe 22 Februari leo nimepata mzigo kupitia posta na nimelipa elfu 48 tu kwa sticker moja.
View attachment 2135400
View attachment 2135402
View attachment 2135403
Picha za kweli wewe.Na uongo juu[emoji3][emoji3] picha za ku download