Teknolojia mpya ya 3D kuchapa nyumba

Teknolojia mpya ya 3D kuchapa nyumba

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Dunia imeingia kwenye teknolojia mpya ya kuchapa nyumba badala ya kujenga, teknolojia hii inaitwa 3D HOUSE PRINTING, badala ya kujenga sasa unatumia printa inafanya kazi kama printa ya kawaida japo yenyewe wino wake ni kama zege!

Hii mashine inamwaga zege kwa kuzunguruka kufuatana na ramani ya nyumba ambayo imeingizwa kwenye mtambo, nyumba hizi kwa hapa Afrika Mashariki zimejengwa Kenya.
 
Kenya wako mbele sana kwa mambo ya printing. Kuna kazi za kuprinti hapa tz hazifanyiki mpaka uende kenya.
 
Dunia imeingia kwenye tekinolojia mpya ya kuchapa nyumba badala ya kujenga, tekinolojia hii inaitwa 3D HOUSE PRINTING, badala ya kujenga sasa unatumia printa inafanya kazi kama printa ya kawaida japo yenyewe wino wake ni kama zege! Hii mashine inamwaga zege kwa kuzunguruka kufuatana na ramani ya nyumba ambayo imeingizwa kwenye mtambo, nyumba hizi kwa hapa Afrika Mashariki zimejengwa Kenya.
Kenya sehemu gani. Msikuze Mambo leteni ushahidi.
 
Niliisoma hii miaka kadhaa nyuma, japo ilionekana kama kichekesho kwa muda ule ila kwa teknolojia nikaamini ipo siku itafanikiwa, sijapata kujua kama sasa ishaanza kutumika.

Tuwekee na kavideo
 
Back
Top Bottom