JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Virusi vya Corona haviwezi kusafiri kwenye mawimbi ya redio/mitandao ya simu, na kwamba COVID-19 tayari inaenea katika nchi nyingi ambazo hazina mitandao ya simu ya 5G.
COVID-19 huenezwa kupitia matone ya kupumua wakati mtu aliyeambukizwa anapokohoa, kupiga chafya au kuzungumza. Watu wanaweza pia kuambukizwa kwa kugusa sehemu yenye virusi na kisha kushika macho, mdomo au pua.
======
FACT: 5G mobile networks DO NOT spread COVID-19
Viruses cannot travel on radio waves/mobile networks. COVID-19 is spreading in many countries that do not have 5G mobile networks.
COVID-19 is spread through respiratory droplets when an infected person coughs, sneezes or speaks. People can also be infected by touching a contaminated surface and then their eyes, mouth or nose.
Source: WHO
COVID-19 huenezwa kupitia matone ya kupumua wakati mtu aliyeambukizwa anapokohoa, kupiga chafya au kuzungumza. Watu wanaweza pia kuambukizwa kwa kugusa sehemu yenye virusi na kisha kushika macho, mdomo au pua.
======
FACT: 5G mobile networks DO NOT spread COVID-19
Viruses cannot travel on radio waves/mobile networks. COVID-19 is spreading in many countries that do not have 5G mobile networks.
COVID-19 is spread through respiratory droplets when an infected person coughs, sneezes or speaks. People can also be infected by touching a contaminated surface and then their eyes, mouth or nose.
Source: WHO