#COVID19 Teknolojia ya 5G haienezi COVID-19

#COVID19 Teknolojia ya 5G haienezi COVID-19

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Virusi vya Corona haviwezi kusafiri kwenye mawimbi ya redio/mitandao ya simu, na kwamba COVID-19 tayari inaenea katika nchi nyingi ambazo hazina mitandao ya simu ya 5G.

COVID-19 huenezwa kupitia matone ya kupumua wakati mtu aliyeambukizwa anapokohoa, kupiga chafya au kuzungumza. Watu wanaweza pia kuambukizwa kwa kugusa sehemu yenye virusi na kisha kushika macho, mdomo au pua.

======

FACT: 5G mobile networks DO NOT spread COVID-19

Viruses cannot travel on radio waves/mobile networks. COVID-19 is spreading in many countries that do not have 5G mobile networks.

COVID-19 is spread through respiratory droplets when an infected person coughs, sneezes or speaks. People can also be infected by touching a contaminated surface and then their eyes, mouth or nose.

Source: WHO
 
Hakuna aliyesema 5G inaneneza Corona. Bali kuna connection katika ya kuchoma watu chanjo na kukua kwa teknolojia ya 5G
 
Back
Top Bottom