Teknolojia ya kisasa ktk kuhesabu kura, nini cha kujifunza ktk uchaguzi wa Kenya?

Teknolojia ya kisasa ktk kuhesabu kura, nini cha kujifunza ktk uchaguzi wa Kenya?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Poleni na majukumu ya juma zima familia ya JF. Niende kwenye mada hapo juu. Ndugu zetu wakenya wamefanya uchaguzi lakini kura zilizotolewa kwa njia ya electroniki zimekataliwa na upinzani wakitaka zilizohesabiwa kwa mikono yaani majumuisho kwenye fomu namba 34A kutoka kila kituo cha uchaguzi. Wapinzani haohao walikataa mwanzoni kabla ya uchaguzi kura kuhesabiwa kwa mikono na walidai fomu huchakachuliwa na hazitoi matokeo halisi na badala yake itumike electroniki. Nakumbuka walienda hadi mahakamani kudai haki hii. Leo wamebadilika. Je tujifunze nini kama Watanzania kupitia mbinu hizi mbili za kuhesabu kura?
 
Cha kujifunza ni kuwa siku nyingine unapopiga kampeni usisema ukiwa rais utendaji wako wa kazi utakuwa kama rais Y and X.
 
Odinga haeleweki....ni wale wa kutaka uongozi kwa nguvu...walitoa IEBC ya zamani, wakaandamana kila uchao...huyu jamaa aende tu tuone wengine...heri kina Mudavadi na Kalonzo wachukue usukani lakini si huyuu msumbufu...
 
Back
Top Bottom