Teknolojia ya kuzungumza na wafu mpango ulioshindikana

Teknolojia ya kuzungumza na wafu mpango ulioshindikana

Nibiru X

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
425
Reaction score
436
Habari watu wangu wa nguvu,

Tangu hapo awali technolgia imekuwa inakua kwa kasi kubwa sana kiasi cha kuwa na akili bandia kutumia roboti kufanya kazi na shughuli na kijeshi na intelligence project kufikia kote huko mwanadamu ameshindwa kutengeneza technology ya kuzungumza na wafu imekwama kabisa.

Watu wengi hapa duniani wamepoteza wapendwa wao waliowapenda sana lakini baada ya vifo vyao hakuna lolote lililoendelea ikimaanisha walipoteza mawasiliano pale tu walipofariki.

Haijulikani wanafanya nini wanavaa nini wanakula nini ni swali gumu sana ila tuishie kusema kuwa licha ya technology kukua kiasi kikubwa sana kuzungumza na wafu kumeshindikana una maoni gani kuna uwezekano wa jambo hilo.

Vitabu vya dini haviruhusu jambo hilo?
 
Nina mashaka hatutaweza kufikia hii teknolojia,

Elimu yake hatujapewa kwa mujibu wa dini yangu.

"Na wanakuuliza kuhusu roho?, waambie roho ni katika mambo ya Mola wako mlezi na nyie hamkupewa elimu ya roho isipokuwa kidogo".

Hapa mola anamwambia mtume roho ni juu yake, hajatupa elimu hiyo, kwa mujibu wa dini vyote tuvijuavyo au vijavyo ni sababu elimu hiyo kairuhusu tuwe nayo.

So nina mashaka hatutafikia level hiyo.

Kidunia dunia, naweza kusema tusubiri, hatuwezi jua lijalo mara nyingi, teknolojia imetuonesha maajabu toka enzi za kina GALILEO
 
Habari watu wangu wa nguvu,

Tangu hapo awali technolgia imekuwa inakua kwa kasi kubwa sana kiasi cha kuwa na akili bandia kutumia roboti kufanya kazi na shughuli na kijeshi na intelligence project kufikia kote huko mwanadamu ameshindwa kutengeneza technology ya kuzungumza na wafu imekwama kabisa.

Watu wengi hapa duniani wamepoteza wapendwa wao waliowapenda sana lakini baada ya vifo vyao hakuna lolote lililoendelea ikimaanisha walipoteza mawasiliano pale tu walipofariki.

Haijulikani wanafanya nini wanavaa nini wanakula nini ni swali gumu sana ila tuishie kusema kuwa licha ya technology kukua kiasi kikubwa sana kuzungumza na wafu kumeshindikana una maoni gani kuna uwezekano wa jambo hilo.

Vitabu vya dini haviruhusu jambo hilo?
kwani si kuna wataalam wanaongea na mizimu ya babu zao
 
Nina mashaka hatutaweza kufikia hii teknolojia,
Elimu yake hatujapewa kwa mujibu wa dini yangu.
"Na wanakuuliza kuhusu roho?, waambie roho ni katika mambo ya Mola wako mlezi na nyie hamkupewa elimu ya roho isipokuwa kidogo"
Hapa mola anamwambia mtume roho ni juu yake, hajatupa elimu hiyo, kwa mujibu wa dini vyote tuvijuavyo au vijavyo ni sababu elimu hiyo kairuhusu tuwe nayo.
So nina mashaka hatutafikia level hiyo.

Kidunia dunia, naweza kusema tusubiri, hatuwezi jua lijalo mara nyingi, teknolojia imetuonesha maajabu toka enzi za kina GALILEO

Nukta muhimu sana akhy umeandika
 
Habari watu wangu wa nguvu,

Tangu hapo awali technolgia imekuwa inakua kwa kasi kubwa sana kiasi cha kuwa na akili bandia kutumia roboti kufanya kazi na shughuli na kijeshi na intelligence project kufikia kote huko mwanadamu ameshindwa kutengeneza technology ya kuzungumza na wafu imekwama kabisa.

Watu wengi hapa duniani wamepoteza wapendwa wao waliowapenda sana lakini baada ya vifo vyao hakuna lolote lililoendelea ikimaanisha walipoteza mawasiliano pale tu walipofariki.

Haijulikani wanafanya nini wanavaa nini wanakula nini ni swali gumu sana ila tuishie kusema kuwa licha ya technology kukua kiasi kikubwa sana kuzungumza na wafu kumeshindikana una maoni gani kuna uwezekano wa jambo hilo.

Vitabu vya dini haviruhusu jambo hilo?
Mbona hii technology ipo siku nyingi. Mimi niliishuhudia huko Kagera/Bukoba. Inaitwa Enchware japo sina uhakika sana na hilo jina
 
Habari watu wangu wa nguvu,

Tangu hapo awali technolgia imekuwa inakua kwa kasi kubwa sana kiasi cha kuwa na akili bandia kutumia roboti kufanya kazi na shughuli na kijeshi na intelligence project kufikia kote huko mwanadamu ameshindwa kutengeneza technology ya kuzungumza na wafu imekwama kabisa.

Watu wengi hapa duniani wamepoteza wapendwa wao waliowapenda sana lakini baada ya vifo vyao hakuna lolote lililoendelea ikimaanisha walipoteza mawasiliano pale tu walipofariki.

Haijulikani wanafanya nini wanavaa nini wanakula nini ni swali gumu sana ila tuishie kusema kuwa licha ya technology kukua kiasi kikubwa sana kuzungumza na wafu kumeshindikana una maoni gani kuna uwezekano wa jambo hilo.

Vitabu vya dini haviruhusu jambo hilo?
Hii haiwezekani, mtu akifa anaongeaje xx, labda kama aliweka backup kwenye computer
 
Habari watu wangu wa nguvu,

Tangu hapo awali technolgia imekuwa inakua kwa kasi kubwa sana kiasi cha kuwa na akili bandia kutumia roboti kufanya kazi na shughuli na kijeshi na intelligence project kufikia kote huko mwanadamu ameshindwa kutengeneza technology ya kuzungumza na wafu imekwama kabisa.

Watu wengi hapa duniani wamepoteza wapendwa wao waliowapenda sana lakini baada ya vifo vyao hakuna lolote lililoendelea ikimaanisha walipoteza mawasiliano pale tu walipofariki.

Haijulikani wanafanya nini wanavaa nini wanakula nini ni swali gumu sana ila tuishie kusema kuwa licha ya technology kukua kiasi kikubwa sana kuzungumza na wafu kumeshindikana una maoni gani kuna uwezekano wa jambo hilo.

Vitabu vya dini haviruhusu jambo hilo?

kama kuna mtu atakuambia anaongea na marehemu, ujue anaongea na majini wanaoigiza kuwa wao ni marehemu​

Mhubiri 9:5​

kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
Zaburi 115:17 BHN
Wafu hawamsifu Mwenyezi-Mungu, wala wale wanaoshuka katika nchi ya kimya.
 
Back
Top Bottom