TEKU, MUSLIM Morogoro watoa selection. Wengine nini kinaendelea

Hata St Joseph wamekwishatoa - wamechoka kuisubiri TCU
 
Kwan hao wao hawa2mii mfumo wa tcu au wenyewe wamekaaje kwenye selection zao?
 
MUSLIM najua hawajatumia TCU hawa TEKU wametumia TCU. Sijui nini kinaendelea kwa vyuo vingine
 
MUSLIM najua hawajatumia TCU hawa TEKU wametumia TCU. Sijui nini kinaendelea kwa vyuo vingine
<br />
<br />
ka vp wanafunz wakaulizie kwenye vyuo walivyoomba..
 
<br />
<br />
ka vp wanafunz wakaulizie kwenye vyuo walivyoomba..
kwa style hiyo mtu anaweza akapiga jaramba tz nzima kuulizia kila chuo alichoomba, maana ni zaidi ya vyuo 3 mtu anaomba, pengine alivyoomba haviko mkoa mmoja!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…