Kona mbele
Member
- Aug 9, 2016
- 59
- 15
Hatume kwanza hiyo pesa then hatupe mrejesho.Wewe tuma tu hiyo 45 kama haujipend
HatumeHatume kwanza hiyo pesa then hatupe mrejesho.
Mbona hukutuuliza wakati unai-download? Umeambiwa utume pesa ndio unakuja huku mbio kutuuliza! We tuma kwanza halafu ndio uje utuambie kilichotokea...Hamjambo humu ndani? Nawaomba mnielimishe juu ya hii app (TELBOX TANZANIA-inasemekana INA uwezo wa kufuatilia mawasiliano ya mtu yeyote unayetaka kumfuatilia) Nimei download nikataka kuitumia nikaambiwa nitume 45 elfu kwa Tigo na namba nikapewa.Km kuna mtu ashafanikiwa au una a b c yeyote juu ya hii app please nijulishe.
Kwanza anaitaka application hiyo ili amfuatilie nani? Na kama ni mkewe, akijua kuwa anam-cheat, je, anao ubavu wa kumwacha, au ndio kujitafutia matatizo?...Ni application ya kuwatapeli wajinga wanaopenda ngono kuliko wampendavyo MUNGU
Jombaa wasi wasi ndio akili tatizo kukabili matokeo ya kazi ya hiyo appKwanza anaitaka application hiyo ili amfuatilie nani? Na kama ni mkewe, akijua kuwa anam-cheat, je, anao ubavu wa kumwacha, au ndio kujitafutia matatizo?...
Usimuwekee mitego mingi mke/mpenzi wako ya kumfumania wakati huna uwezo wa kumuacha… ndiyo maana wazee wa zamani walikuwa wanakohoa kohoa na kuimba imba nyimbo mita mia kabla ya kufika nyumbani ili kama kuna mgoni ndani aweze kukimba…Jombaa wasi wasi ndio akili tatizo kukabili matokeo ya kazi ya hiyo app
Teh Teh, mambo ngumu kui handle hiiUsimuwekee mitego mingi mke/mpenzi wako ya kumfumania wakati huna uwezo wa kumuacha… ndiyo maana wazee wa zamani walikuwa wanakohoa kohoa na kuimba imba nyimbo mita mia kabla ya kufika nyumbani ili kama kuna mgoni ndani aweze kukimba…
Shauri yako!...
Kweli,ila hata hii app ni ya wezi tu lzm kuna watu washatandikwa 45Ni kosa kufuatalia mawasiliano ya mtu
Najipenda na nishaacha kung'ang'ania yaliyonizidiWewe tuma tu hiyo 45 kama haujipend
Ni sawa na kuonja sumu hukoHatume kwanza hiyo pesa then hatupe mrejesho.
Nionje sumuTuma kwanza pesa ili uone kama utafanikiwa