Telecom Engineering ni Dili au ni nzur kwa kuisomea kwa xaxa?

Nzuri cna endapo utapata mchonngo mzuri

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Soma Dini uje kuanzisha kanisa upige hela achana na nyanga zisizo na future.
 
Tena ATC, we nenda tu hiyo telecom yako, utauza vocha na earphones mpaka utaomba poo.
 
Xaxa mkuu juxt chuz urslf cozi unayolyk koz ukskza ya wa2 utaumia kichw bure bla 7babu.
 
kivipi kaka?

Ilikuwa hot cake ni course nzuri ...ila inaonekana kama vile wataalam wamekuwa wengi kulinaganisha na nafasi za kazi ingawa kitalakimu ni wachache kulinganisha na mchepuo kama wa civil etc....wadau wake wakubwa ni makampuni ya simu,na Aviation na wehemu zingine kidogo kidogo.

Unaposoma kwa maisha ya sasa unaangalia soko la ajira ...soko la Telecom liko saturated(maji yamezidi unga ama unga umezidi maji either way...wataalam wamezidi nafasi za kazi) kwa sasa ...ila you never know ngoma ya mchezo inaweza kubadilika kidogo kama makampuni ya simu mengine yakiibuka demand ya Telem expertise inaweza ongezeka.
Pili unaweza soma hiyohiyo na kuangalia namna ya kujiajili au kwenda nchi za jirani zenye uhitaji
Unajikuta mwisho wa siku wewe ndio mwenye maamuzi cha muhimu ni kujua tuu what to expect
 

INFORMATION ukiniuliza mimi hiki ndio kitu cha thamani zaidi duniani…..Telecom deals with it… meaning to insure that information is conveyed fastly and in time….ukiniuliza mimi nitakwambia nafasi za hawa watu zipo nyingi sana na bado watahitajika tena sana for the next 100 years… kwa nini nasema hivo labda?.. mimi nimemaliza CEIT udsm mwaka 2012..na kwa waliosoma udsm wanajua ukaribu kati ya TE na CEIT...sasa nipo ktk ajira naona demand kubwa sana ya hawa watu.. kiasi kwamba baadhi ya kampuni huajir watu kutoka nje kufill hyo void…misconception kubwa ya watu kuhusu TE ni kuwa wanahisi ukisoma TE lazima uajiriwe na kampuni za simu bt no thats not true…TE ina wigo mpana sana kuanzia kwenye vituo vya television, mabenki na kampuni nyingj huitaji huduma related to TE kama vile AVIAT, VSAT, WiMAX pamoja na fibre optics solutions.. asikidanganye mtu narudia katika dunia ya sasa its all about information and communication….kila la kheri katika kufanya maamuzi
 

Ahsante kaka kwa ushauri wako mzuri me naipenda sana Telecom sema maneno ya watu wanasema siku hizi cio dili kuajiriwa ni vigumu but me nlitaka nkimaliza OD nikachukue Degree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…