N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
TBC1 na ITV - Ninyi mnatofautiana kuandika neno MBASHARA? MUBASHARA?
USHAURI: Nendeni BAKITA wawapatie neno sahihi maana inaonekana mnashindana wananchi hatuelewi LIPI ni neno sahihi? MUBASHARA? au MBASHARA?!!
Mnaipotosha jamii ambayo hujifunza lugha kupitia kwenu.
CHANNEL 10 na UTV
Kwanini mtumie neno LIVE ambalo si la kiswahili? Tumieni kiswahili ama laah tuelewe matangazo yenu yanarushwa kwa lugha ya kiingereza.
Msichanganye lugha hata kanuni za Utangazaji zinakataza ninyi mnakiuka makusudi?
REJEENI PICHA HAPO CHINI View attachment 1647204View attachment 1647205View attachment 1647206
USHAURI: Nendeni BAKITA wawapatie neno sahihi maana inaonekana mnashindana wananchi hatuelewi LIPI ni neno sahihi? MUBASHARA? au MBASHARA?!!
Mnaipotosha jamii ambayo hujifunza lugha kupitia kwenu.
CHANNEL 10 na UTV
Kwanini mtumie neno LIVE ambalo si la kiswahili? Tumieni kiswahili ama laah tuelewe matangazo yenu yanarushwa kwa lugha ya kiingereza.
Msichanganye lugha hata kanuni za Utangazaji zinakataza ninyi mnakiuka makusudi?
REJEENI PICHA HAPO CHINI View attachment 1647204View attachment 1647205View attachment 1647206