Yes televisheni zenye leseni ya taifa ( National license)UTV, ITV na channel 10 ni televisheni za Taifa kumbe
Alieanza kutumia neno hilo ni ITV TBC1 walikuja anza kulitumia baadae wao badala ya mubashara wakasema mbashara!Watayarishaji wao hawana weledi kwa kifupi, hawajuwi kazi zao.
[emoji1] hiyo kali mwanabodi!!Neno "mubashara" (herufi 9)ni refu mno. Ndio sababu wengine wanaona bora waseme "Live" (herufi 4). Nashauri litumike neno "Mub." au "Muba." kama kifupi cha mubashara.
Wote wakamatwe wachukuliwe hatua, kwanini wanatuchanganya akili?Alieanza kutumia neno hilo ni ITV TBC1 walikuja anza kulitumia baadae wao badala ya mubashara wakasema mbashara!
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Kabisa. Naunga mkonyo hojaWote wakamatwe wachukuliwe hatua, kwanini wanatuchanganya akili?
Sio kweli!!sema tv za kitaifa na sio za taifa!!Yes televisheni zenye leseni ya taifa ( National license)
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app