Temba apandishwa mahakamani kwa kutishia kuua

kama unamsema huyo anaetokea kwenye hiyo video ameshafariki

Kafariki lini? Kuna magazeti ya shigongo au temba alisema yule demu ndingi yake mchungaji na ilileta utata sana kutokea kwenye ile video,sijawahi kusikia taarifa za kifo chake.
 
Kwa taarifa yenu wanaume wa siku izi wanawaonea wivu michepuko kuliko mke, sina uhakika kama wivu huo ulikuwa juu ya MKE ama MCHEPUKO
 
Huyu jamaa si ndo ile jamii ya UFO SARO maamuzi yao huwa ni magumu kama jamaa ataendelea kummegea subirini muone atachoamua
 
Kafariki lini? Kuna magazeti ya shigongo au temba alisema yule demu ndingi yake mchungaji na ilileta utata sana kutokea kwenye ile video,sijawahi kusikia taarifa za kifo chake.
amefariki muda mrefu umepita, temba ndo alitangaza kifo chake
 
duu yule demu wa kwa nampenda yeye ndo imeniuma kumbe hayupo duniani!!RIP koz ule wimbo bdo naufili sana.Ulevi nao noma si katangaza ua akiwa bar chezea additional brain
 
Yupo gpsa pale kurasini huyo mdada ni mweupe tu madereva wa serikali wanajipigia tu wala siyo mchoyo sijui atawachoma wangapi hvyo visu
Watu wanasubiri afungwe tu

Yaani MIRIAM??
 
Mbona umeweka conclusion ya TB.
Alifariki huyo mdada walitangaza tangaza kifo chake kwenye baadhi ya blogs

ila vyovyote vile habari imenisikitisha kidogo kama sio sana. anaonekana alikua mcheshi sana nikiikumbuka ile video!
 
ila vyovyote vile habari imenisikitisha kidogo kama sio sana. anaonekana alikua mcheshi sana nikiikumbuka ile video!

Basi ndio hivyo tena alifariki October mwaka jana.. walisema chanzo ni maradhi yaliyokua yakimsumbua kwa muda mrefu sasa sijui ni maradhi gani??
 
ili mistari yake ni bure....hahha kumbe kila mjanja ana mjanja wake
 
Basi ndio hivyo tena alifariki October mwaka jana.. walisema chanzo ni maradhi yaliyokua yakimsumbua kwa muda mrefu sasa sijui ni maradhi gani??

Vijana wanapoteza maisha wakiwa wadogo hao mavideo queen wengi sidhani kma wanalipwa zaidi ya kuuza sura n kununuliwa pombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…