..mtoto wa busara kila siku anakula kwetu, tukianza kula wa kwanza kukwapua nyama, tukimkataza utasikia mamaaa, sasa kivumbi usiku..(nature)
..mtoto wa kishuaaa, kwao asubuhi chai ya maziwa, mkate na blueband (babu)
.. imepita miezi 6 nyumbani hazijagongwa yai... henheeeee (babu)
... si ulitataka chai, chai sasa iweje unalalamika unaungua.. (wanaume)
.. mtoto wa kishua kwao vyuisi, soft drinks.. (babu)
....tukikaa bar tunakunywaaaaa... asubuhi tukiamka hee! ile 200 iliyobaki jana si bora tukanunue vitumbua.. (KR)