Tembea ufurahishe akili na ujifunze

Tembea ufurahishe akili na ujifunze

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Unapotembea unajifunza na kufurahisha Akili. Maisha ni Kufurahi kile kidogo ambacho Mungu amekujaria Sema Asante, ikiwa wewe ni Mkristo/ Muilsmu au Mtu usie na Dini, ila unaamini ktk Mungu Furahi na Kutembea Sehemu ambazo unaona unaweza Fika, Jana Na Leo Nipo Kabwe, MBEYA, nimefurahi kua hapa, na panapo Majariwa ntaenda Sehemu ingine kutembea tu nakuipa Furaha akili yangu kwa kuona mandhari tofauti.

Hapa kabwe Kuna kibanda cha kahawa nimekunywa kahawa....Washikaji wa Njiro(Relini)Wiki iliopita Nimefurahi kua pale mwendo wa kuzurula tu.

Nafasi ikipatikana tunaenda kutembea Sehemu Zingine sio lazima kwenda kwa Ndugu/ Marafiki unaenda mikoa mwingine kabisa na nyumbani.
 
Unapotembea unajifunza na kufurahisha Akili. Maisha ni Kufurahi kile kidogo ambacho Mungu amekujaria Sema Asante,
Ikiwa wewe ni Mkristo/ Muilsmu au Mtu usie na Dini, ila unaamini ktk Mungu Furahi na Kutembea Sehemu ambazo unaona unaweza Fika, Jana Na Leo Nipo Kabwe, MBEYA, nimefurahi kua hapa, na panapo Majariwa ntaenda Sehemu ingine kutembea tu nakuipa Furaha akili yangu kwa kuona mandhari tofauti....Hapa kabwe Kuna kibanda cha kahawa nimekunywa kahawa....Washikaji wa Njiro(Relini)Wiki iliopita Nimefurahi kua pale mwendo wa kuzurula tu.
Nafasi ikipatikana tunaenda kutembea Sehemu Zingine sio lazima kwenda kwa Ndugu/ Marafiki unaenda mikoa mwingine kabisa na nyumbani......
Eric Shigongo katembelEa marekani anakwambia tanzania ina unafuhuu kuliko USA.
Sababu alizosema.
1.Uchumi wa tanzania
2.Uwezo wa kijeshi na teknolojia.
3.Ujasusi ambao hata yule anayezamini m23 awezi kutufikia.

nipo na msikiliza hapa Erick shigongo kuelekea 2025
 
heri yako unaweza kutembea maeneo tofauti bila vikwazo, kuna wengine wengi hata kujua tumboni kitaingia kitu gani hawajui na michongo haisomeki.
Mungu atakujaria ndugu yangu, ktk Kila Jambo shughuri zako muhusishe Mungu atakujaria ndugu yangu.
Mungu ni mwingi wa rehema ma rehema zake azichunguziki.
 
Unapotembea unajifunza na kufurahisha Akili. Maisha ni Kufurahi kile kidogo ambacho Mungu amekujaria Sema Asante,
Ikiwa wewe ni Mkristo/ Muilsmu au Mtu usie na Dini, ila unaamini ktk Mungu Furahi na Kutembea Sehemu ambazo unaona unaweza Fika, Jana Na Leo Nipo Kabwe, MBEYA, nimefurahi kua hapa, na panapo Majariwa ntaenda Sehemu ingine kutembea tu nakuipa Furaha akili yangu kwa kuona mandhari tofauti....Hapa kabwe Kuna kibanda cha kahawa nimekunywa kahawa....Washikaji wa Njiro(Relini)Wiki iliopita Nimefurahi kua pale mwendo wa kuzurula tu.
Nafasi ikipatikana tunaenda kutembea Sehemu Zingine sio lazima kwenda kwa Ndugu/ Marafiki unaenda mikoa mwingine kabisa na nyumbani......
hongera sana mkuu! hata mm nafikiria kufanya matembezi haswa mikoa ya kusini nipo Kanda ya ziwa.. nina usafiri ngoja nidundulize hela ya mafuta
 
Back
Top Bottom