Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ubunifu upo wapi hapo? Acha bangeDuh aiseee watu wabunifu
Ubunifu upo wapi hapo? Acha bange
mkuu itakula cement nyingi zaidi ya tofali.....hapo kwenye uimara pana walakiniKilo 1 ya chupa sh 4,00
Tofali 1 mpaka saiti 1,000
Chaguo ni lako
Moto sio rahisi kuwaka hapo kutokana na mchanga unaojazwa kwenye Chupa.Mwenye geto hilo asiwe mgomvi tu. Maana anaweza akakuta jamaa wamewasha moto hizo chupa
Muache dada wa watu kwanza macho yake huwa yanapendeza sana akishavuta mjani.Ubunifu upo wapi hapo? Acha bange
Hujaweka mchanga wa kujaza kwenye chupa na gharama za nguvu kazi.Kilo 1 ya chupa sh 4,00
Tofali 1 mpaka saiti 1,000
Chaguo ni lako
Muda huo unafanya haya yote anaetafuta mkate wake wa kesho ataamka hana njaa.Ukitaka kupiga Chabo ni rahisi unatoboa hiyo chupa unatoa mchanga halafu unakula kozi kiulaini kabisa
Ndo maana wadau wanasema hamna ubunifu Zaid ya Uchafu tumkuu itakula cement nyingi zaidi ya tofali.....hapo kwenye uimara pana walakini