Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
is just a photoshop, nothing true in this photo
.....mmhhhhhhhhhhhhhhhhhhh! i like this!
hahaaaaa haahaaa kaha huyo ni balaaa, yani umenichekesha sana hapo kwenye red, lakini ukienda peponi utayakuta hayo maana allah atuandali sisi waislamu wanawake 70 wenye makalio marefu 40FT sasa nadhani nizaidi ya hayo, kuwa mwislamu uende pepo ya allah duh he heeeee!!Hii kitu inawezekana kabisa. Ndiyo maana Pape kasema tembea uone. Huwezi kusema hiyo ni photoshop kama tu hujatembea dunia yote ukawaona watu wa aina tofautitofauti. Binadamu tunatofautiana kwa kiasi kikubwa sana huwezi kuamini. Kuna wakati nilikwenda Bukoba nikamkuta mmama ana makalio ambayo kwa namna yoyote ile unaweza kuona kwamba siyo ya kawaida. Kwa sababu ni makubwa sijawahi yaona pengine na sitegemei kuyaona tena. Kama mtu angepiga picha yale akayaleta hapa wote tungejua ni photoshop. Lakini ni ukweli huo kwamba binadamu tunatofautiana sana.