muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,041
- 1,457
Tanzania nafikiri kuna sehemu tunakosea sana, kuna watu wanasifiwa mpaka tunakufuru kwa maneno yetu. Hatukatai kumsifia mtu akifanya mazuri lakini iwe na kiasi.
Sifa, heshima, utukufu, na tukufu zote ziende kwa mwenye kutoa uzima, uhai, ambaye ni Muumba wa mbingu na nchi. Sasa inashangaza mtu mmoja ndiye anafanyiwa hayo tena kama vile pesa anatoa kwenye mfuko wake. Hapana, hapana.
Ila kama tukiendelea kumtukuza binadamu tutaendelea kupigwa na majanga maana inakuwa tumegeuza binadamu kama ndiye Mungu wetu, yetu macho tuendelee na siasa za maji taka za kusifia binadamu kupitiliza kuliko Muumba wa mbigu na nchi.
Nisiseme mengi maana inatia hasira
Sifa, heshima, utukufu, na tukufu zote ziende kwa mwenye kutoa uzima, uhai, ambaye ni Muumba wa mbingu na nchi. Sasa inashangaza mtu mmoja ndiye anafanyiwa hayo tena kama vile pesa anatoa kwenye mfuko wake. Hapana, hapana.
Ila kama tukiendelea kumtukuza binadamu tutaendelea kupigwa na majanga maana inakuwa tumegeuza binadamu kama ndiye Mungu wetu, yetu macho tuendelee na siasa za maji taka za kusifia binadamu kupitiliza kuliko Muumba wa mbigu na nchi.
Nisiseme mengi maana inatia hasira