Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,082
- 2,402
Makundi ya tembo yanataabisha wanakijiji hawa, ni hatari kubwa, hakuna kulala, ni kukesha, na mchana yapo, hata mda huu wa saa nne usiku nasikia mavuvuzela na kupiga madebe kuyasogeza
Maafisa wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) wanafika wanakuja na kuondoka hawana msaada, wowote, naona sasa hivi wamebaki wenyewe tu kupambana nayo,
Utalii wa ndani umehamia kijiji hiki, kama hujaona tembo sogea hapa utawashuhudia.
Maafisa wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) wanafika wanakuja na kuondoka hawana msaada, wowote, naona sasa hivi wamebaki wenyewe tu kupambana nayo,
Utalii wa ndani umehamia kijiji hiki, kama hujaona tembo sogea hapa utawashuhudia.