joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Nchi gani hiyo unayosema wangezuia isijengwe kabisa, mimi nilimaanisha jirani zetu ambako kila siku majumba yanaporomoka na watu kupoteza maisha karibia kila baada ya miezi mitatu.Nchi nyingine wangezuia losijengwe kabisa
Umesahau ya Dar es Salaam hivi unafahamu Ripoti inasema Majengo mangapi hapo hayafai kwa Usalama wa BinadamuNchi gani hiyo unayosema wangezuia isijengwe kabisa, mimi nilimaanisha jirani zetu ambako kila siku majumba yanaporomoka na watu kupoteza maisha karibia kila baada ya miezi mitatu.
Dar tangu 2013 lilipoanguka lile jengo pale katika ya jiji, hakuna jengo lolote lile lililoanguka, badala yake serikali imekuwa makini katika kufuatilia majengo hatarishi na kuchukua hatua ikiwemo kuyavunja na kusimamisha ujenzi hatarashi. Kuanzia 2013 hadi sasa Kenya zaidi ya nyumba 50 zimeanguka na kusababisha vifo zaidi ya 300.Umesahau ya Dar es Salaam hivi unafahamu Ripoti inasema Majengo mangapi hapo hayafai kwa Usalama wa Binadamu