Habari zenu wana jf, nimehamia dodoma hiv majuzi,mzoefu wa mapishi ya kila haina ila napendelea sana kuchoma nyama za kuku na ngombe pamoja na kupika kiti moto,dodoma ni mgeni na natamani sana kama yeyote atakaetembelea blg hii na kuweza kunisaidia kupata tenda kwenye bar nitashukuru sana.asanteni