malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Mkuu ndo wananiambia hivo kuwa utaratibu wao unasupply kwanza Hadi mwezi mzima uishe Kisha ndo wanaanza kufanyia taratibu za kukulipa pesa uku ukiendela kuwasupply japo hawajakulipa malipo ya mwezi uliopita Sasa huu utaratibu hakuna harufu yakupigwa kweliSitaki kusikia kuhusu SGR, mradi wa kitapeli sana huu. Tumefanya kazi yapi merzkezi mambo hayo hayo pesa ya toka Feb inapigwa kalenda kila siku leo unaambiwa hadi July
Uchunguzi sindo wengi husema huwa wasumbufu ktk malipo unapigwa karenda madai yawezi wa2 Hadi Sasa labda unakua hujalipwa nawanataka uendelee kwasuply uku wakiendela kukufanyia taratibu zamalipo yakoMi nadhani kila ofisi ina utaratibu wake, hapo ni kuchunguza tu hao unaofanya nao kazi wapoje
MafutaUna supply nini
Achana nao, utajutaMafuta
Aiseee hao jamaa achana nao wasumbufu mnooo watakutia umaskiniMafuta
Aiseee hao jamaa achana nao wasumbufu mnooo watakutia umaskini
Ndio uzuri wa JF, Penye wengi hpahalibiki jambo. malembeka18 nadhani umepata mwanga, sasa hapo ni jukumu lako kupambanua na kuchukua hatua.Kama hela yako ya mawazo au ya kukopa achana na huo mradi, huo nradi unataka watu wenye ukwasi mrefu, mfano
1june-30 june umessupply mzingo wa 300mil mamaake 1 july utatakiwa kusubmitt invoice ikiambatana na receipt ya efd daima receipt hiyo itakuwa na VAT ya almost 54mil, ambapo hiyo vat utakuja kufile august na utatakiwa kulipa,(hapo kama huna vat input mwezi husika. Itakapo fika hiyo august utakuta bado hujalipwa na hata ukilipwa wanaweza wakakulipa kidogo na sio yote wanaweza wakulipa hela ndogo kuliko hata unayodaiwa VAT.
Matokeo yake ni utaanza makimbizano na TRA, etc etc mambo yataanza kwenda zig zag.
Hizi biashara zinataka mtaji vinginevyo mtasumbuana tu.Shemeji yangu alifirisika kwa style kama hii alikuwa alipata tender hotel moja mjini hapa.Habar wakuu wachina wa SGR weonyesha Nia yakufanya kazi na mim yakusupply then malipo utaratibu wao nibaada ya mwezi yaani unasupply Leo tar1 June tar 30 June Kisha malipo Yako yataanza kufanyiwa utaratibu July 1 pia malipo yanaweza kuchelewa still ukaendelea kuwasupply ...wakuu nauliza kwa mwenyewe uzoefu yoyote wa tenda za wachina wakoje na huu utaratibu wao
Hizi biashara zinataka mtaji vinginevyo mtasumbuana tu.Shemeji yangu alifirisika kwa style kama hii alikuwa alipata tender hotel moja mjini hapa.
Waliingia mkataba wa kusambaza kuku 300 kwa mwezi,sukari na mafuta ya kula.Siku anakwenda fatilia anaambiwa manager hayupo kafanya wizi hivyo tumemuachisha kazi ndipo na haki zake zimepotelea hapo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Mkataba ulikuwa wa manager au hotel kaka maana mkataba ndio kila kitu
Huyo shemeji yako alikuwa anauza kwenye kampuni/hotel au alikuwa anamuuzia meneja?na je kulikuwa na mkataba wowote au maandishi yoyote ya kuonesha amefanya supply hapo hotelini?Hizi biashara zinataka mtaji vinginevyo mtasumbuana tu.Shemeji yangu alifirisika kwa style kama hii alikuwa alipata tender hotel moja mjini hapa.
Waliingia mkataba wa kusambaza kuku 300 kwa mwezi,sukari na mafuta ya kula.Siku anakwenda fatilia anaambiwa manager hayupo kafanya wizi hivyo tumemuachisha kazi ndipo na haki zake zimepotelea hapo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
mkataba upoHizi biashara zinataka mtaji vinginevyo mtasumbuana tu.Shemeji yangu alifirisika kwa style kama hii alikuwa alipata tender hotel moja mjini hapa.
Waliingia mkataba wa kusambaza kuku 300 kwa mwezi,sukari na mafuta ya kula.Siku anakwenda fatilia anaambiwa manager hayupo kafanya wizi hivyo tumemuachisha kazi ndipo na haki zake zimepotelea hapo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app