Tetesi: Tenda zote za Serikali na makampuni binafsi kuwa monitored na serikali, mawakala binafsi hawana nafasi tena

Baada yakufanya hayo yote wanaoshauri watakuja gunduwa hali ni Tete Mali hazipatikani Kwa wakati na watu wanapanga folen kununua bidhaa kiukweli hatuna jinsi Ila Mungu ashuke atutetee wa Tz.
 
Itasaidia kukomesha wizi maana makampuni yalikuwa yanachukua tenda kwa gharama kubwa sana ukilinganisha na uhalisia, hongera sana JPM
Hili ni soko huru ,sasa turudi basi kwenye ujamaa.......imeletwa taneps imetosha
 
Tunakoelekea hii serikali itaanza hata kuuza Ice cream yenyewe na kupiga marufuku wananchi wengine kuziuza
Afadhali serikali. Bila serikali tusingekuwa na umeme wa mabwawa, wala Tanesco wala vyuo vikuu vya mwanzoni na vinginevyo,wala viwanda mbalimbali ambavyo japo vilikufa kwa uzembe wa uendeshaji tumeoneshwa njia. Muhimbili nani angewekeza hivyo? Hii ya gesi waliotupiga unaweza kuona umeme wake ulivyo ghali. Hakuna mtu binafsi angejenga bwawa la Rufiji la Mwl. JK Nyerere tunalotegemea litupatie umeme wa bei ya chini kama kidatu, kihansi na nyumba ya mungu. Nchi zote haya yanaendelea kujengwa na serikali kama three gorges ya china na lile la ethiopia linalozalisha umeme mpaka wanauza nchi za jirani. Watu binfsi ni biashara ndio namba moja. Haijali wewe una uwezo au la.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…