wewe kwanza mkuu inakuwaje? Piga msasa kisu mzee mambo yote murua, kuhusu asietahiriwa mzee mimi na mtazamo tofauti kidogo, Asietahiriwa kweli msisimko na mtetemo ni mkali si mchezo maana unajua ile ngozi inafunika na nyma ya kitu inakuwa too soft ikigusa tu mkuu utamu unaanza kumea, ukipiga mbili tatu hapo jiandae makombola kuruka, kuhusu alietahiriwa ujue tayari nyama inakuwa kama ngumu kidogo so kusense inakuwa ngumu hivyo msisimko unakuwa si mchezo lakini sasa, ALIETAHILIWA kazi yake si mchezo, mziki mnene upo pale akianza kula kipupwe, mwanadada hasa wengi akiona tu mwanaume anamaliza faster wanaamini ndo ampendae au alikuwa na hamu nae au alimmiss kwa sana tuuu, Ukichelewa maswali mengi either umecheat and so far...nawakilisha tu mazeee....