TENDO LA NDOA WAKATI WA UJAUZITO

mizarb

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,402
Reaction score
1,288
-Upi ni wakati sahihi wa kuacha kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito?
-Ni madhara yapi (ama faida zipi) awezazo kuzipata mwanamke akiendelea kushiriki tendo mpaka muda wa mwisho wa ujauzito?
 
Mkuu piga pipe tu mwanzo mwisho mpaka mtakapoona mikao inashindikan na anakua unconfortable ndo apumzike.

Ila kama hapati shida yoyote we suuza tu. Cha msingi awe muwazi
 
Mkuu piga pipe tu mwanzo mwisho mpaka mtakapoona mikao inashindikan na anakua unconfortable ndo apumzike.

Ila kama hapati shida yoyote we suuza tu. Cha msingi awe muwazi
Vp hamna madhara kiafya?
 
Hakuna madhara yoyote, chagua styles nzuri tu jipigie mpaka mwisho yani unamla hadi siku anayoenda leba
 
Zingatia wakati wa mwezi wa mwisho ambao mama hana uwezo wa kujisafisha ndaniii kabisa ya uke.

Siku mtoto anazaliwa anatoka na mashahawa Yako mkeo full matusi toka kwa manesi.

Kiafya madaktari wacha wake kukushauri.
 
Zingatia wakati wa mwezi wa mwisho ambao mama hana uwezo wa kujisafisha ndaniii kabisa ya uke.

Siku mtoto anazaliwa anatoka na mashahawa Yako mkeo full matusi toka kwa manesi.

Kiafya madaktari wacha waje kukushauri.
 
Zingatia wakati wa mwezi wa mwisho ambao mama hana uwezo wa kujisafisha ndaniii kabisa ya uke.

Siku mtoto anazaliwa anatoka na mashahawa Yako mkeo full matusi toka kwa manesi.

Kiafya madaktari wacha wake kukushauri.
Chai.... Story za vijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…