binti kiziwi weweee mrembosanaa28Dah uzi mzuri sijawahi kuuona! Nimecheka sana hasa comments za mwanzo mwanzo.
Hahah sema asante kwa likes, jana nimetembeza likes sana humu. Uzi mzuri sijawahi uona, na navyopenda kucheka nimecheka sana jana.
😂😂😂🤣 hebu nifanye kazi kwanza, baadae utanikoma! Ila sina sentensi 😅
ndio nmesema asante kwa ajili hiyo, hakika umeupiga mwingi mno.Hahah sema asante kwa likes, jana nimetembeza likes sana humu. Uzi mzuri sijawahi uona, na navyopenda kucheka nimecheka sana jana.
Unfortunately sijaweza kutunga sentensi hata moja, lakini usijenitungia sentensi kama za Da Vinci Zile binti kiziwi Zero IQ Akilindogosana
ukirudi jitahidi uweze kutunga sentesi😂😂😂🤣 hebu nifanye kazi kwanza, baadae utanikoma! Ila sina sentensi 😅