😂😂😂Sikutaki
walahii hii kimasihara ishakuwa brand ni uvivu wangu tu na hela sinaaa...!! 😀 😀Wewe rikiboy ulianzisha uzi wa Kimasihara naomba niku shauri..Kwenye huo Uzi ukisema Uuze na Kondom hupigi hela?..Acha tamaa sasa uza zakiume tu..Alafu unaziita Kondom za kimasihara hupigi hela?[emoji28][emoji28][emoji28]
😂😂😂👋
Kumbeee! 🤣🤣🤣 chap kwa haraka!
😂😂😂 This is legend Sis! 🤣🙌🏻🙌🏻