Tengeneza Stori Fupi na Picha Zake kwa Command za Maneno Machache Tuu

Tengeneza Stori Fupi na Picha Zake kwa Command za Maneno Machache Tuu

Joined
Feb 8, 2023
Posts
8
Reaction score
17
Artificial Intelligence in Tanzania: Tumetengeneza Artificial Intelligence platform ambayo inaweza kukusaidia kuongeza ufanisi na productivity ktk kazi zako, leo nita share vitu vichache kidogo ambavyo inaweza kukusaidia
- kuelezea documents za kisheria lugha rahisi sana (legal documents explainer)
-- inaelezea legal doc (contract, terms, policies, MOU...) kulingana na uhusika wako kwa legal issue hiyo; kwa lugha nyepesi

- Auto generator ya hadithi/story pamoja na picha zake
-- unaipa command maneno mafupi, yenyewe inakupa stori full; unaset ije na stori na picha yenye vigezo vipi

- Auto generator assistant ya mikataba kwa wanasheria
-- unaipa vigezo, wahusika, issue... yenyewe inakusaidia kuandaa mkataba kwa just seconds

- Auto generator ya Lessons plans (personalised learning plans)
-- Mwalimu una set vigezo vyako kama umri, darasa, topics, objectives, curriculum standards... then yenyewe inaandaa in seconds. kuandaa lesson plan kwa kila mtoto ni ngumu ila ndio future ya elimu ilipo, so ni fursa kwa walimu sasa kufanya PERSONALISD LEARNING kwa msaada wa AI... pia

- Generator ya Picha (photos, illustrations, arts)
-- hapa labda unahitaji picha kwajili ya mambo yako... unacho fanya ni kuweka command maneno machache ambavyo picha unataka iwe then inakuandalia picha kulingana na unavyotaka... pia waweza set picha kwa kuweka vigezo vya camera kama ISO, metering, camera angle, proximity, white balance...

- Generator ya Barua
-- labda unahitaji kuandika barua mbalimbali za kazi, kibiashara... unachofanya ni kuipa maneno na specifications chache za barua kisha yenyewe inakuandikia kwa lugha bora, na kwa haraka... pia waweza set iandike kwa tone gani (humble, persuasive, profesional, negotiation, business, analytical, intimidation...)

- Generator la Majina ya kibiashara na organisations
-- hii imekaa poa, unaipa maneno machache kuelezea kuhusu business yako... unachagua jina liwe staili gani (compound word, latin names, unaimaginable words, Swahili words, animal, plant...) kisha inakupa mapendekezo ya majina 30 yaliyo bomba

- Kijibu maswali ya vyuo
-- hapa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali... una maswali yako au pastpapers, unaipa swali kisha yenyewe ina kupa jibu la swali lako... sio hivyo tuu, tumei-set ikupe jibu lakini ikufundishe hapohapo uelewe concept maana kuelewa ni bora zaidi... So inakusaidia kukufundisha uwe super zaidi

- Kijibu maswali ya Shule za Chekechea, Msingi na Sekondari
-- hii inaandika essay ndefu iliyo sheheni point kwa lugha safi... unaipatia maswali ya mtihani au kitabu kisha itakupa jibu na pia itakufundisha concept kuhusu topiki ya swali hilo ili uelewe zaidi

- Generator ya Questions na Marking Scheme yake
-- Kwa kutumia kanuni za Bloom's Taxonomy, tumetengeza iandaae maswali na majibu yake kulingana na vigezo ulivyoipa... una set umri wa mwanafunzi, unataka umpime mwanafunzi kitu gani, somo gani, topiki, level ya ugumu wa swali, unataka umpime cognitive ipi (knowledge, comprehension, application, analysis, synthesis and evaluation), vigezo vya curriculum... kwa mtu yeyote anayefundisha, mwalimu, trainers, motivator, coach... hii inaweza kuwa msaada
---- na nyingine nyingi tunazidi kuziongezea kulingana na uhitaji


Ijapokuwa AI duniani imefika kiwango kizuri cha ubora, inahitajika kuitumia bado kwa uangalifu... kuna muda mwingine inaweza kukupa majibu ambayo hayapo sawa... so inahitajika uweze kurirudia jibu na kulihakiki kabla ya kulitumia.

-- Nimeweka video link moja hapa chini uweze ona mfano kidogo ufanyaji kazi wake


www.fikiria.xyz.jpg
 
Artificial Intelligence in Tanzania: Tumetengeneza Artificial Intelligence platform ambayo inaweza kukusaidia kuongeza ufanisi na productivity ktk kazi zako, leo nita share vitu vichache kidogo ambavyo inaweza kukusaidia
- kuelezea documents za kisheria lugha rahisi sana (legal documents explainer)
-- inaelezea legal doc (contract, terms, policies, MOU...) kulingana na uhusika wako kwa legal issue hiyo; kwa lugha nyepesi

- Auto generator ya hadithi/story pamoja na picha zake
-- unaipa command maneno mafupi, yenyewe inakupa stori full; unaset ije na stori na picha yenye vigezo vipi

- Auto generator assistant ya mikataba kwa wanasheria
-- unaipa vigezo, wahusika, issue... yenyewe inakusaidia kuandaa mkataba kwa just seconds

- Auto generator ya Lessons plans (personalised learning plans)
-- Mwalimu una set vigezo vyako kama umri, darasa, topics, objectives, curriculum standards... then yenyewe inaandaa in seconds. kuandaa lesson plan kwa kila mtoto ni ngumu ila ndio future ya elimu ilipo, so ni fursa kwa walimu sasa kufanya PERSONALISD LEARNING kwa msaada wa AI... pia

- Generator ya Picha (photos, illustrations, arts)
-- hapa labda unahitaji picha kwajili ya mambo yako... unacho fanya ni kuweka command maneno machache ambavyo picha unataka iwe then inakuandalia picha kulingana na unavyotaka... pia waweza set picha kwa kuweka vigezo vya camera kama ISO, metering, camera angle, proximity, white balance...

- Generator ya Barua
-- labda unahitaji kuandika barua mbalimbali za kazi, kibiashara... unachofanya ni kuipa maneno na specifications chache za barua kisha yenyewe inakuandikia kwa lugha bora, na kwa haraka... pia waweza set iandike kwa tone gani (humble, persuasive, profesional, negotiation, business, analytical, intimidation...)

- Generator la Majina ya kibiashara na organisations
-- hii imekaa poa, unaipa maneno machache kuelezea kuhusu business yako... unachagua jina liwe staili gani (compound word, latin names, unaimaginable words, Swahili words, animal, plant...) kisha inakupa mapendekezo ya majina 30 yaliyo bomba

- Kijibu maswali ya vyuo
-- hapa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali... una maswali yako au pastpapers, unaipa swali kisha yenyewe ina kupa jibu la swali lako... sio hivyo tuu, tumei-set ikupe jibu lakini ikufundishe hapohapo uelewe concept maana kuelewa ni bora zaidi... So inakusaidia kukufundisha uwe super zaidi

- Kijibu maswali ya Shule za Chekechea, Msingi na Sekondari
-- hii inaandika essay ndefu iliyo sheheni point kwa lugha safi... unaipatia maswali ya mtihani au kitabu kisha itakupa jibu na pia itakufundisha concept kuhusu topiki ya swali hilo ili uelewe zaidi

- Generator ya Questions na Marking Scheme yake
-- Kwa kutumia kanuni za Bloom's Taxonomy, tumetengeza iandaae maswali na majibu yake kulingana na vigezo ulivyoipa... una set umri wa mwanafunzi, unataka umpime mwanafunzi kitu gani, somo gani, topiki, level ya ugumu wa swali, unataka umpime cognitive ipi (knowledge, comprehension, application, analysis, synthesis and evaluation), vigezo vya curriculum... kwa mtu yeyote anayefundisha, mwalimu, trainers, motivator, coach... hii inaweza kuwa msaada
---- na nyingine nyingi tunazidi kuziongezea kulingana na uhitaji


Ijapokuwa AI duniani imefika kiwango kizuri cha ubora, inahitajika kuitumia bado kwa uangalifu... kuna muda mwingine inaweza kukupa majibu ambayo hayapo sawa... so inahitajika uweze kurirudia jibu na kulihakiki kabla ya kulitumia.

-- Nimeweka video link moja hapa chini uweze ona mfano kidogo ufanyaji kazi wake


View attachment 2510919

Mkuu umetengeneza kitu kizuri japo kwa simu haifunguki vizuri.
Ila nina swali, kwanini data zilziokusanywa zinaisha 2021 just like chatgpt?
Ila I am so impressed nadhani ntaijaribu zaidi na zaidi.
 
Mkuu umetengeneza kitu kizuri japo kwa simu haifunguki vizuri.
Ila nina swali, kwanini data zilziokusanywa zinaisha 2021 just like chatgpt?
Ila I am so impressed nadhani ntaijaribu zaidi na zaidi.
- Mimi kwangu inafanya kazi... Na kuna wanafunzi wanaitumia, maybe check internet

- 2021: Tunatumia AI models mbalimbali ambazo almost zote ni from outside the country, so we just customize ziendane na mahitaji yetu... Sasa model hizo zinachukua muda kutengeneza na zina data nyingi sana... It is challenge kuwa zinakuwa updated daily (data za dunia nzima ni nyingi sana na ni ghali sana ku run)View attachment 2511955View attachment 2511954
Screenshot_20230209-220253.jpg
 
Mkuu umetengeneza kitu kizuri japo kwa simu haifunguki vizuri.
Ila nina swali, kwanini data zilziokusanywa zinaisha 2021 just like chatgpt?
Ila I am so impressed nadhani ntaijaribu zaidi na zaidi.
Mkuu huyu jamaa katumia API za OpenAI ambao ndio wametengeneza chatgtp hana uwezo wa kudevelop na kutrain model yake mwenyewe ukweli ndio huo ndio maana majibu yanaishia 2021 jaribu kumuuliza kwanini inashindwa kujibu kuhusu tetemeko la turkey ?
 
- Mimi kwangu inafanya kazi... Na kuna wanafunzi wanaitumia, maybe check internet

- 2021: Tunatumia AI models mbalimbali ambazo almost zote ni from outside the country, so we just customize ziendane na mahitaji yetu... Sasa model hizo zinachukua muda kutengeneza na zina data nyingi sana... It is challenge kuwa zinakuwa updated daily (data za dunia nzima ni nyingi sana na ni ghali sana ku run)View attachment 2511955View attachment 2511954View attachment 2511956
Acha kudanganya watu wewe usifikiri kila mtu ni mjinga humu wewe unatumia API za openAI wewe ulichokifanya ni kutengeneza interface ya kudisplay hayo majibu kutoka kwenye json halafu unakuja hapa kuongelea model pambaf kabisa
 
Artificial Intelligence in Tanzania: Tumetengeneza Artificial Intelligence platform ambayo inaweza kukusaidia kuongeza ufanisi na productivity ktk kazi zako, leo nita share vitu vichache kidogo ambavyo inaweza kukusaidia
- kuelezea documents za kisheria lugha rahisi sana (legal documents explainer)
-- inaelezea legal doc (contract, terms, policies, MOU...) kulingana na uhusika wako kwa legal issue hiyo; kwa lugha nyepesi

- Auto generator ya hadithi/story pamoja na picha zake
-- unaipa command maneno mafupi, yenyewe inakupa stori full; unaset ije na stori na picha yenye vigezo vipi

- Auto generator assistant ya mikataba kwa wanasheria
-- unaipa vigezo, wahusika, issue... yenyewe inakusaidia kuandaa mkataba kwa just seconds

- Auto generator ya Lessons plans (personalised learning plans)
-- Mwalimu una set vigezo vyako kama umri, darasa, topics, objectives, curriculum standards... then yenyewe inaandaa in seconds. kuandaa lesson plan kwa kila mtoto ni ngumu ila ndio future ya elimu ilipo, so ni fursa kwa walimu sasa kufanya PERSONALISD LEARNING kwa msaada wa AI... pia

- Generator ya Picha (photos, illustrations, arts)
-- hapa labda unahitaji picha kwajili ya mambo yako... unacho fanya ni kuweka command maneno machache ambavyo picha unataka iwe then inakuandalia picha kulingana na unavyotaka... pia waweza set picha kwa kuweka vigezo vya camera kama ISO, metering, camera angle, proximity, white balance...

- Generator ya Barua
-- labda unahitaji kuandika barua mbalimbali za kazi, kibiashara... unachofanya ni kuipa maneno na specifications chache za barua kisha yenyewe inakuandikia kwa lugha bora, na kwa haraka... pia waweza set iandike kwa tone gani (humble, persuasive, profesional, negotiation, business, analytical, intimidation...)

- Generator la Majina ya kibiashara na organisations
-- hii imekaa poa, unaipa maneno machache kuelezea kuhusu business yako... unachagua jina liwe staili gani (compound word, latin names, unaimaginable words, Swahili words, animal, plant...) kisha inakupa mapendekezo ya majina 30 yaliyo bomba

- Kijibu maswali ya vyuo
-- hapa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali... una maswali yako au pastpapers, unaipa swali kisha yenyewe ina kupa jibu la swali lako... sio hivyo tuu, tumei-set ikupe jibu lakini ikufundishe hapohapo uelewe concept maana kuelewa ni bora zaidi... So inakusaidia kukufundisha uwe super zaidi

- Kijibu maswali ya Shule za Chekechea, Msingi na Sekondari
-- hii inaandika essay ndefu iliyo sheheni point kwa lugha safi... unaipatia maswali ya mtihani au kitabu kisha itakupa jibu na pia itakufundisha concept kuhusu topiki ya swali hilo ili uelewe zaidi

- Generator ya Questions na Marking Scheme yake
-- Kwa kutumia kanuni za Bloom's Taxonomy, tumetengeza iandaae maswali na majibu yake kulingana na vigezo ulivyoipa... una set umri wa mwanafunzi, unataka umpime mwanafunzi kitu gani, somo gani, topiki, level ya ugumu wa swali, unataka umpime cognitive ipi (knowledge, comprehension, application, analysis, synthesis and evaluation), vigezo vya curriculum... kwa mtu yeyote anayefundisha, mwalimu, trainers, motivator, coach... hii inaweza kuwa msaada
---- na nyingine nyingi tunazidi kuziongezea kulingana na uhitaji


Ijapokuwa AI duniani imefika kiwango kizuri cha ubora, inahitajika kuitumia bado kwa uangalifu... kuna muda mwingine inaweza kukupa majibu ambayo hayapo sawa... so inahitajika uweze kurirudia jibu na kulihakiki kabla ya kulitumia.

-- Nimeweka video link moja hapa chini uweze ona mfano kidogo ufanyaji kazi wake


View attachment 2510919

Huna lolote acha kudanganya watu wewe ulichoongeza hapa ni hiyo vi CSS na javascript lakini workload yote inafanywa OpenAI
 
That is why we are calm boss... I understand it...
Thanks!
Usijifanye umekuwa calm jibu kwanini majibu ya hiyo unayoita mfumo wa AI ambao umedevelope ukomo wa majibu yanaishia 2021 Kama ilivyo chatgtp? Mkuu acha kujiboost kuwa mkweli umetumia API za openAI na ndio maana zinafanana. Halafu kwa kuongeza openAI wametumia bilions za dola kudevelope na kutrain hizo model na pia wamesaidiwa na makampuni makubwa Kama Microsoft na kampuni za Elon Musk Sasa wewe unakalaptop na videsktop viwili halafu unasema umedevelope model pambaf kabisa tena kumbuka model Kama hizo zinahitaji massive processing power ndio maana hata chatgtp wanatumia Azure ya Microsoft ambao ni wafadhili wao wakubwa. Mkuu jaribu kuwa mkweli sio kuleta longolongo za kitapeli hapa
 
Yeah... Waweza jaribu
... Na kuna tools nyingine nyingi tunazidi kuongeza ku boost productivity ya Professionals na SME...
Huna tool yeyote unayoweza kuifanya zaidi ya kutumia hizo ambazo maguru wa AI wameshazifanya danganya wale ambao hawana utaalamu kwenye eneo hilo huna lolote tena muda si mrefu hizo API zitakuwa ni zakulipia halafu tuone kama na huu utapeli wako utaendelea kuwepo
 
Huna tool yeyote unayoweza kuifanya zaidi ya kutumia hizo ambazo maguru wa AI wameshazifanya danganya wale ambao hawana utaalamu kwenye eneo hilo huna lolote tena muda si mrefu hizo API zitakuwa ni zakulipia halafu tuone kama na huu utapeli wako utaendelea kuwepo
Nadhani ndo maana hata ChatGPT wanatoa API ili developer wengine waweze kutengeneza application ambazo zinatumia model yao kama AI engine..Sioni ubaya wa yeye kufanya alichofanya.
 
Nadhani ndo maana hata ChatGPT wanatoa API ili developer wengine waweze kutengeneza application ambazo zinatumia model yao kama AI engine..Sioni ubaya wa yeye kufanya alichofanya.
Hivi vyote alivyo viainisha vinafanywa na chatGTP na wana interface nzuri zaidi kwahiyo ingekuwa vyema kama angejikita zaidi kuelekeza jinsi yakuitumia kwa ufanisi . Pia nia openAI kutoa API sio kufanya kile ambacho tayari wameshakifanya ila ni kwaajili ya kurahisisha kuintergrate na mifumo mingine inayohitaji kupata data kutoka kwao sasa huyu anarudia kile ambacho kimeshafanywa halafu anadanganya kadevelope na kutrain hizo model mwenyewe hapo ndio utapeli ulipoanzia
 
Back
Top Bottom