Tengenezeni Kiba ama Diamond wawili sio kumshusha mmoja ili mwingine awe dili

Tengenezeni Kiba ama Diamond wawili sio kumshusha mmoja ili mwingine awe dili

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,846
Habari wana.

Nimenukuu huu mstari kutoka katika wimbo wa Fid Q Sumu. Unasema"Hawaamini kutengeneza Kiba ama Diamond wawili wanachoamini ni kumshusha mmoja ili mwingine awe dili"

Tasnia yetu ya mziki pengine haikui kwasababu ya hii kitu.Ma team mara team Diamond mara team Kiba. Kama kweli wewe ni shabiki wa muziki mzuri kwanini uwe na utimu na ushabiki uliojikita sehemu moja.

Na ndio maana industry yetu haikui ukiangali nchi zilizoendelea kimuziki hawana mambo haya Yes,utimu unaweza kuwepo kidogo Ila sio hadi kupelekea chuki binafsi.

Unakuta mtu eti unaamuliza msanii wako pendwa ni nani anakwambia Alikiba,unamuuliza vipi kuhusu Diamond anasema simpendi ukiimuliza kwanini atasema basi tu simpendi.

Ukitaja wasanii wakubwa wa Nigeria au Marekani mpaka utachoka Ila ukija hapa Bongo eti muziki ni Diamond na Alikiba.

Yaani mashabiki wanaconcetrate Sana kwa wasanii wachache tu ndio maana support inakua ndogo kwa wasanii wengine.Kila kitu mjini ni Kiba na Diamond.

Tungekuwa na support kwa sasa tungekuwa na wasanii wengi mfano wa hawa Ila sasa chuki unafiki na u team vinaumaliza na vinaua vipaji vingine vichanga kwenye muziki
 
Kwani hata hao akina kiba na Mondi ni wasanii wakubwa basi?
Ni wakiwango cha kati tuu,ndio maana hawataki wengne wawafikie kwa kuwa watakuwa ni dagaa wadogo wadogo
 
Nilikuwa nakupuuza dogo umeongea cha maana sana ila tegemea mawe mengi kupigwa nayo muda sio mrefu
 
Habari wana.

Nimenukuu huu mstari kutoka katika wimbo wa Fid Q Sumu. Unasema"Hawaamini kutengeneza Kiba ama Diamond wawili wanachoamini ni kumshusha mmoja ili mwingine awe dili"

Tasnia yetu ya mziki pengine haikui kwasababu ya hii kitu.Ma team mara team Diamond mara team Kiba. Kama kweli wewe ni shabiki wa muziki mzuri kwanini uwe na utimu na ushabiki uliojikita sehemu moja.

Na ndio maana industry yetu haikui ukiangali nchi zilizoendelea kimuziki hawana mambo haya Yes,utimu unaweza kuwepo kidogo Ila sio hadi kupelekea chuki binafsi.

Unakuta mtu eti unaamuliza msanii wako pendwa ni nani anakwambia Alikiba,unamuuliza vipi kuhusu Diamond anasema simpendi ukiimuliza kwanini atasema basi tu simpendi.

Ukitaja wasanii wakubwa wa Nigeria au Marekani mpaka utachoka Ila ukija hapa Bongo eti muziki ni Diamond na Alikiba.

Yaani mashabiki wanaconcetrate Sana kwa wasanii wachache tu ndio maana support inakua ndogo kwa wasanii wengine.Kila kitu mjini ni Kiba na Diamond.

Tungekuwa na support kwa sasa tungekuwa na wasanii wengi mfano wa hawa Ila sasa chuki unafiki na u team vinaumaliza na vinaua vipaji vingine vichanga kwenye muziki
Daaaaaah zagarinojo umeniangusha, by the way ni fact lakini ukiangalia alieanzisha uteam ni mfalme jua ili aweze kukiki kupitia Diamond
 
Kwani hata hao akina kiba na Mondi ni wasanii wakubwa basi?
Ni wakiwango cha kati tuu,ndio maana hawataki wengne wawafikie kwa kuwa watakuwa ni dagaa wadogo wadogo
Kwa tanzania top 10 ni;
1.Diamond platinumz (The G. O. A. T).
2.Rayvanny(The one and only BET winner)
3.Harmonize(The child from WCB)
4.Mbosso(The one with strong lyrics)
5.Zuchu(Best female East Africa)
6.Allykiba(The one who cry for crownless)
7.Nandy(The female artist who struggle)
8.Marioo(The upcoming artist)
9.Maua sama(The one who try hard)
10.Lavalava(The only one who have sweet voice)
 
Kwa tanzania top 10 ni;
1.Diamond platinumz (The G. O. A. T).
2.Rayvanny(The one and only BET winner)
3.Harmonize(The child from WCB)
4.Mbosso(The one with strong lyrics)
5.Zuchu(Best female East Africa)
6.Allykiba(The one who cry for crownless)
7.Nandy(The female artist who struggle)
8.Marioo(The upcoming artist)
9.Maua sama(The one who try hard)
10.Lavalava(The only one who have sweet voice)
The one who have

Have have what ?
 
Back
Top Bottom