Teodoro Nguema Obiang Mangue: Mtoto wa Rais mwenye maisha ya kifahari kwa fedha za ubadhirifu

Kuna clip moja inatembea, jamaa wa Barrick wanasema wanavyoinyonya Tanzania hata wenyewe wanaona aibu. Lakini vyote wamepewa ki halali na wanasiasa.
Duh, inauma na kusikitisha mno jinsi utajiri wa Afrika ulivyotajirisha na kuendelea kutajirisha wasio waafrika!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa si ndiyo kuna wakati alikuwa yupo kwenye mahusiano na Eve (Eve Jihan Cooper) wa Ruff ryders?
Warembo wengi wakali duniani anavinjari nao. Kuna wakati huwa anakataliwa kuingia katika baadhi ya nchi makini duniani kutokana na ukubwa wa msafara wake na mabegi mengi mno ya pesa taslimu (hususan $, £ na €)!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Huo ufilisi angefanyiwa na muafrika mwenzake tungemsema mfilisi anaroho mbaya....
We Huwajui Wafaransa Mkuu, kwenye Unafiki na ku pretend Wana A+,

Wapo Wazungu wazuri ambao hawana Time na Kunyonya Africa kama Nchi za Scandinavia kina Norway na Finland, wanatusaidia sana, ila Hao Kina Ufaransa, Uingereza, Ubelgiji na nchi nyengine za magharibi wengi wanafiki tu.

Kama Ufaransa angekuwa anawajali kweli angeanza na TOTAL si kampuni ya Ufaransa hii? Maana kila siku ina scandal za wizi wa Mafuta huko Guinea.
 
Kuna clip moja inatembea, jamaa wa Barrick wanasema wanavyoinyonya Tanzania hata wenyewe wanaona aibu. Lakini vyote wamepewa ki halali na wanasiasa.
Umenikumbusha ndungai na bandari ya bagamoyo si bure...
 
Babaye na teodorin alipata madaraka baada ya kumpindua baba take mdogo nae anaitwa obiang nguema.

Mahakama ya kijeshi eqoutorial guinea iliamua auliwe kwa kupigwa risasi.

Since then yuko madarakani Wala Hana mpango wa kutoka

Madiktea was afrika

Akina obiang nguema

Denis saso ngueso

Akina bongo ondimba

Kagame

Museveni

Kiir

Derby

IBK

Paulo biya

Ccm
 
Mijitu kama hii kuanzia ma Raisi wastaafu,inabidi tuwakamate,tuwale Tigo harafu wao na familia zao,tuwafukuze nchini,waondoke na nguo walizovaa tu,pesa mali zote zinataifishwa kama mali ya umma
 
Kuna clip moja inatembea, jamaa wa Barrick wanasema wanavyoinyonya Tanzania hata wenyewe wanaona aibu. Lakini vyote wamepewa ki halali na wanasiasa.
Kituliza moyo wangu umepotelea wapi kwani nakusaka kila kona bila mafanikio😁😁😁
 
Laaziz ninapiga kelele juu ya uwonevu wa Maasai, niko barabarani huku kwa Elon Musk
Hapo kwa wamasai tunaenda sawa nyongo mkalia ini wangu, yasije yakatutenganisha tena kama yale ya Samia mhamasisha ufisadi😁😁😁
 
Wakoloni waliweka madaraja ya watu katika tawala zao kutokana na fikra na mchango chanya katika maendeleo ndani ya makoloni yao,-
1. WAZUNGU
2. WAASIA
3. WAAFRIKA
Walikuwa sahihi kufanya hivyo na huo nduo ukweli mpaka leo jamii zenye mchango chanya wa kimaendeleo duniani ni inaanza jamii ya kizungu inafuata jamii ya kiasia na Mwisho jamii ya kiaafrika.
 
Africa ndo sehemu ambayo ukipata madaraka unaambiwa umepata "ulaji".........tumeshahalalisha ufisadi kimtindo
Kimtindo? Hii ipo dhahiri na imekomaa kabisa ndani ya Afrika.
 
Kuna clip moja inatembea, jamaa wa Barrick wanasema wanavyoinyonya Tanzania hata wenyewe wanaona aibu. Lakini vyote wamepewa ki halali na wanasiasa.
Inasikitisha sana ujue!
Nalog off Z
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…