Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Huyu alifariki wiki iliyopita tarehe 7 akiwa na umri wa miaka 64.
Astro alifariki tar.7 / 11.Huku Baba T katutoka huku Astro naye hatunae! Jamii ya Rastafarian imepata pigo. R.I.P
Aisee! Dunia inaenda kasi sana na binaadamu pia siku zetu za kuishi zinaenda kasi zaidi. Wengi hufariki bila wengine kufahamu kwa wakati. Ukija kusikia unaambiwa "mbona fulani alishazikwa tumemsahau?!"Astro alifariki tar.7 / 11.
Kingston Town, Sweet Cherry, Cherry oh Baby na nyingine nyingi zilituburudishaHuyu alifariki wiki iliyopita tarehe 7 akiwa na umri wa miaka 64.
Unemployment Benefit 40 (UB40), yaani posho ya kutokuwa na ajira unalipwa paundi 40 za uingereza, kibao chao Red Red Wine kilitikisa dunia.
Kingston town naielewa sanaKingston Town, Sweet Cherry, Cherry oh Baby na nyingine nyingi zilituburudisha