Terminal pub morogoro

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kuna mwamba yeyote mwana jf aliyeko hapa muda huu ? Ila tusitafutane tujuane tu Kama tupo hapa.
 
Pamenoga kinoma watu wa Moro wanajua starehe.
 
Kwa mala ya mwisho nilikuwa hapo mwaka jana,patamu sana.
 
Picha. Watu wa Moro starehe wapi na wapi? Watakua wakazi wa Dar wameenda pumzika mashambani huko.
 
Picha. Watu wa Moro starehe wapi na wapi? Watakua wakazi wa Dar wameenda pumzika mashambani huko.
Mkuu kwahiyo waluguru na wengine wa moro hawajui starehe... utakuwa uifahamu moro vizuri.
 
Morogoro inabebwa na wana dar na arusha. Chunguza hapo utajua
 
Mkuu kwahiyo waluguru na wengine wa moro hawajui starehe... utakuwa uifahamu moro vizuri.
Wanachonifurahisha ni msimamo wa kujisikia fahari sana kuongozwa na kina Shamim, Kalogeres na Abood. Wakiona jina la Mlekwa, Dimoso wanachukia
 
Ndo nipo njian naelekea hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…