Terminal ya SGR kuwa katikati ya jiji

Terminal ya SGR kuwa katikati ya jiji

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,355
Reaction score
4,260
Habarini wana jamvi.

Wakati ujenzi wa reli ukikaribia kuzinduliwa kwa route ya Dar es Salaam - Dodoma

Hivi ulishawahi kujiuliza wasomi wetu waliwaza nini kutengeneza daraja kubwa kuanzia vinginguti mpaka posta?
Unaweza piga hesabu pesa kiasi gani imetumika ili treni ifike tu posta?

Nazungumzia treni ya abiria usijesema ina link na bandari ili ipakie mizigo toka bandarini.

Vipi kwani treni hii isingeanzia gongo la mboto. Ikatengenezwa stand maridhawa na abiria wangeenda abiri huko badala ya kuja mpaka posta?

Hivi nia ya kuhamisha stand ya mabasi ya mikoani toka mnazi mmoja mpaka ubungo na hatimaye mbezi lengo lilikua nini haswa?

Najua jf ina wasomi hodari wataweza kuniondolea hili dukuduku langu la kutaka kujua kwa nini sgr ianzie city center tena kwa kujengewa daraja kubwa toka vingunguti, badala ya kuondoa msongamano na kujengewa nje ya mji.

Asanteni.
 
Tren inapakia watu ulitaka reli ikajengwe mwanambaya?

Reli zote za mwendokasi duniani zinaingia city 🏙️
 
Tumeondoa bus terminal Kisutu, Mnazi mmoja na Msimbazi kwa nia ya kuondoa msongamano wa magari katikati ya jiji.
SGR ina njia inayojitegemea.
 
Wazo zuri sema umelileta kuwalaumu watawala.

Ilipaswa iwe hivyo, wangeboresha feeder roads
 
Hao watu wanaokwenda kuipanda watakwenda kwa miguu au?
Watapanda mabasi ya mwendokasi ambayo yanatapakaa jiji zima.
Hapo station kimejengwa kituo rasmi cha mwendokasi kuwaondoa abiria
 
Watapanda mabasi ya mwendokasi ambayo yanatapakaa jiji zima.
Hapo station kimejengwa kitup rasmi cha mwendokasi kuwaondoa abiria
Huku bunju ndo kwanza kunategenezwa. Labda wazuie magari binafsi maana pia hayakosekani kwenda kupeleka na kuchukua raia hapo
 
Wasomi wa nchi hii wameboronga Hadi tumefikia kwenda nje na wasanii kusaini mikataba.
Mnamkumbuka yule Prof aliye tuaibisha kwenye Ile tribunal?
Wasomi wskipewa kaupenyo tu Ni kununua mabasi na kujenga nyumba za kupangisha.
Kujua mengi kuhusu wasomi wetu muulize mbunge msukuma.
 
Mkuu ulitembea nchi gani ukaona inter city train inaanzia nje ya mji?
 
Huku bunju ndo kwanza kunategenezwa. Labda wazuie magari binafsi maana pia hayakosekani kwenda kupeleka na kuchukua raia hapo
Sawa,
Hata kama itachelewa lakini nanyi mtapata huduma ya mwendokasi ili mkitelemka station iwafikishe huko
 
Muda ukifika utapanda tu.
Nina imani Mwendokasi itafanyiwa maboresho ya huduma zake, kila mmoja atatamani apande
Sijawahi kuipanda kutokana na hizo changamoto zilizopo vinginevyo ningeshaipanda.
 
Habarini wana jamvi.

Wakati ujenzi wa reli ukikaribia kuzinduliwa kwa route ya Dar es Salaam - Dodoma

Hivi ulishawahi kujiuliza wasomi wetu waliwaza nini kutengeneza daraja kubwa kuanzia vinginguti mpaka posta?
Unaweza piga hesabu pesa kiasi gani imetumika ili treni ifike tu posta?

Nazungumzia treni ya abiria usijesema ina link na bandari ili ipakie mizigo toka bandarini.

Vipi kwani treni hii isingeanzia gongo la mboto. Ikatengenezwa stand maridhawa na abiria wangeenda abiri huko badala ya kuja mpaka posta?

Hivi nia ya kuhamisha stand ya mabasi ya mikoani toka mnazi mmoja mpaka ubungo na hatimaye mbezi lengo lilikua nini haswa?

Najua jf ina wasomi hodari wataweza kuniondolea hili dukuduku langu la kutaka kujua kwa nini sgr ianzie city center tena kwa kujengewa daraja kubwa toka vingunguti, badala ya kuondoa msongamano na kujengewa nje ya mji.

Asanteni.
Unaweza kuwa mtu wa pili kuwa na akili kubwa baada ya makonda, hili daraja lingeanzia bandarini lingeleta maana, hii hiki kituo cha abiria kingekuwa kwala ingeleta maana
 
Habarini wana jamvi.

Wakati ujenzi wa reli ukikaribia kuzinduliwa kwa route ya Dar es Salaam - Dodoma

Hivi ulishawahi kujiuliza wasomi wetu waliwaza nini kutengeneza daraja kubwa kuanzia vinginguti mpaka posta?
Unaweza piga hesabu pesa kiasi gani imetumika ili treni ifike tu posta?

Nazungumzia treni ya abiria usijesema ina link na bandari ili ipakie mizigo toka bandarini.

Vipi kwani treni hii isingeanzia gongo la mboto. Ikatengenezwa stand maridhawa na abiria wangeenda abiri huko badala ya kuja mpaka posta?

Hivi nia ya kuhamisha stand ya mabasi ya mikoani toka mnazi mmoja mpaka ubungo na hatimaye mbezi lengo lilikua nini haswa?

Najua jf ina wasomi hodari wataweza kuniondolea hili dukuduku langu la kutaka kujua kwa nini sgr ianzie city center tena kwa kujengewa daraja kubwa toka vingunguti, badala ya kuondoa msongamano na kujengewa nje ya mji.

Asanteni.
Tanzania tuna wasomi wasiojitambua who can't express themselves, mtu anaona fahari kuitwa Dr. au Profesa wakati hajuwi alifanyalo na wala hachangii chochote kwenye midahalo ya kimataifa. Mfano angalia yule Profesa (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) alivyo mbabaishaji, ameitwa Uingereza kwenda kujieleza, hajuwi anafanya nini anaulizwa maswali anaanza kulia na kutetemeka, mind you - huyu ni Profesa na mtetezi wa Serikali yetu.
 
ila Morogoro wameweka tuta mjini nakuifungia mitaa nakuboresha mafuriko kutokana na maji kufungiwa njia zake za asili. Kuna mtaa frame wanafun
 
Back
Top Bottom