ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Habarini wana jamvi.
Wakati ujenzi wa reli ukikaribia kuzinduliwa kwa route ya Dar es Salaam - Dodoma
Hivi ulishawahi kujiuliza wasomi wetu waliwaza nini kutengeneza daraja kubwa kuanzia vinginguti mpaka posta?
Unaweza piga hesabu pesa kiasi gani imetumika ili treni ifike tu posta?
Nazungumzia treni ya abiria usijesema ina link na bandari ili ipakie mizigo toka bandarini.
Vipi kwani treni hii isingeanzia gongo la mboto. Ikatengenezwa stand maridhawa na abiria wangeenda abiri huko badala ya kuja mpaka posta?
Hivi nia ya kuhamisha stand ya mabasi ya mikoani toka mnazi mmoja mpaka ubungo na hatimaye mbezi lengo lilikua nini haswa?
Najua jf ina wasomi hodari wataweza kuniondolea hili dukuduku langu la kutaka kujua kwa nini sgr ianzie city center tena kwa kujengewa daraja kubwa toka vingunguti, badala ya kuondoa msongamano na kujengewa nje ya mji.
Asanteni.
Wakati ujenzi wa reli ukikaribia kuzinduliwa kwa route ya Dar es Salaam - Dodoma
Hivi ulishawahi kujiuliza wasomi wetu waliwaza nini kutengeneza daraja kubwa kuanzia vinginguti mpaka posta?
Unaweza piga hesabu pesa kiasi gani imetumika ili treni ifike tu posta?
Nazungumzia treni ya abiria usijesema ina link na bandari ili ipakie mizigo toka bandarini.
Vipi kwani treni hii isingeanzia gongo la mboto. Ikatengenezwa stand maridhawa na abiria wangeenda abiri huko badala ya kuja mpaka posta?
Hivi nia ya kuhamisha stand ya mabasi ya mikoani toka mnazi mmoja mpaka ubungo na hatimaye mbezi lengo lilikua nini haswa?
Najua jf ina wasomi hodari wataweza kuniondolea hili dukuduku langu la kutaka kujua kwa nini sgr ianzie city center tena kwa kujengewa daraja kubwa toka vingunguti, badala ya kuondoa msongamano na kujengewa nje ya mji.
Asanteni.