Terrorist

Joined
Dec 10, 2018
Posts
11
Reaction score
7
Tanzania tupo vizuri.

Ikitokea kama ya kenya, tutakamata hadi bodaboda mwenye ndevu nyingi, kijana mchafu, asiye na kitambulisho cha utaifa aliyekuwepo hapo,mpita njia asiyejielewa, etc
Yani tungewashika zaidi ya watu 70 wanaosadikika kuhusika then segereaa kutoka kama uamsho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teheh teheh
Usiombee yatokee kwetu mkuu ni hatari sana
 
Na wewe una hizo sifa 200%
 
Usiombe kabisaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…