JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Maintanance ya gari za umeme ni rahisi zaidi kuliko za petroli/dizeli hii inatokana na kuendeshwa na motor badala engine. Hamna oil change,sijui gasket imeungua ,spark plug mbovu,ooh air fiter ime clog. Fewer moving parts compared to internal combustion engine means less maintanance. Kubwa kuliko una save pa kubwa gharama za petroli/dizeli
Mhhh atakimbia huyo maana bei yake unaweza kununua nyumba nyingi KariakooBei ya dukani $180,000 . Kokotoa hesabu blaza🙂
Mjini mlio wa maelfu ya magari alfajiri hadi usiku mkubwa ni kero , kero kweli kweli.Japo mi bado napenda sauti ya engine.
Volkswagen ID 4 ambalo ni wadhamini wa michuano ya Euro ni balaa tupu Jana nilikuwa nimeona Kwenye uzinduzi wa michuano kulikuwa na demo ya hilo gari linazunguka uwanjni aisee hawa wazungu wako mbali Sana Kwenye technology
Mabadiliko ya kasi yanayo madhara makubwa kisaikologia. Muandishi Alvin Toffler katika kitabu chake Future Shock (1972)alifafanua madhara ya mabadiliko ya kasi kwa binadamu. Hatimaye tunashuhudia utabiri wake enzi za digitalli.Tech inakuwa sana. Tena haraka sana.
Mbona kenya ipo model XHivi unafikir mpak lin Tesla zitaanza kuletwa Africa au electric cars nyingine zozote ?
Umeme wenyewe tabu😁Hivi unafikir mpak lin Tesla zitaanza kuletwa Africa au electric cars nyingine zozote ?
Hawa wazungu wangetuachia Tu Magari yetu ya manual transmission inatosha sasa tumeanza kuhama tena kutoka Kwenye petrol na dieselMabadiliko ya kasi yanayo madhara makubwa kisaikologia. Muandishi Alvin Toffler katika kitabu chake Future Shock (1972)alifafanua madhara ya mabadiliko ya kasi kwa binadamu. Hatimaye tunashuhudia utabiri wake enzi za digitalli.
Nimeziona electric cars kadhaa kenya wako vizuri.
Mtu anaetoa hela ya kununua hilo gari ana nyumba za kutosha huko kkoo.Mhhh atakimbia huyo maana bei yake unaweza kununua nyumba nyingi Kariakoo
Ipo mkuu! Kuna mnyama unaitwa Rimac Nevera. Una 1,914HP. 0 - 60mph kwa 1.85 sec. Yaani sPlaid hatii mguu hapo.Hii ni itakuwa gari inayotembea haraka zaidi duniani.
Kwanza naona ina zaidi ya 1000HP.
0 to 60mph ambayo ni equivalent na 0 to 100kph inaenda kwa 1.99 sec. Hapa hamna gari yoyote inatia mguu.
Ukienda kwenye kikokotoo chao hakuna sehemu option ya gas wala umeme, itakuwa ni free boat [emoji23]TRA wanataka ngapi, kuingiza hii chuma
Ipo mkuu! Kuna mnyama unaitwa Rimac Nevera. Una 1,914HP. 0 - 60mph kwa 1.85 sec. Yaani sPlaid hatii mguu hapo.
View attachment 1816280
Duu! Balaa hiyo. Imeshaingia kwenye production?Kuna chuma hiki kinaitwa Aspark Owl from 0 to 60mph kinatembea 1.69 seconds. Ina 1985HP na ni electric car.
View attachment 1816291
Hii ni itakuwa gari inayotembea haraka zaidi duniani.
Kwanza naona ina zaidi ya 1000HP.
0 to 60mph ambayo ni equivalent na 0 to 100kph inaenda kwa 1.99 sec. Hapa hamna gari yoyote inatia mguu.
Bei yake unazidisha mara 2.5TRA wanataka ngapi, kuingiza hii chuma