Tesla Roadster gari ya kwanza kwenda Mars

Tesla Roadster gari ya kwanza kwenda Mars

denniehanda

Member
Joined
Apr 11, 2019
Posts
12
Reaction score
28
Zimepita siku 515 toka Kampuni ya Tesla kutangaza kuwa gari yao aina ya Tesla Roadster imeanza safari kuelekea Mars.

Mpaka kufikia Mwaka jana gari hio ilikua ishatembea maili milioni 179 Kwa spidi ya 35,000 mph, taarifa hizo zilitolewa na website ya WhereIsRoadster.com

Elon Musk alitaka bodi sakiti ya gari hio iandikwe "Made On Earth By Humans", badala ya kuandikwa "Made in USA" au "Made by Tesla". Musk alifanya hivo ikiwa ni sehemu ya heshima na kututambulisha Binadamu huko kwenye anga la ndani endapo kama gari hio ikikutwa na viumbe wengine.

Tesla Roadster ndio gari pekee kuwahi kutengenezwa na binadamu ambayo ipo mbali zaidi na Dunia.

kibitechnologies-20200402-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu fafanua kidogo topic ieleweke kwa wengi mkuu.
- Ndani ya hilo gari kuna nini
- Linatarajiwa kuchukua muda gani mpaka kuwasili
- Linatarajiwa kuwasili lini.
- Nini haswa madhumuni ya safari hiyo
- n.k
akikujibu unitag
 
Hebu fafanua kidogo topic ieleweke kwa wengi mkuu.
- Ndani ya hilo gari kuna nini
- Linatarajiwa kuchukua muda gani mpaka kuwasili
- Linatarajiwa kuwasili lini.
- Nini haswa madhumuni ya safari hiyo
- n.k
-Ndani ya gari kuna mwanasesele kama anavyoonekana Kwenye picha
-Kampuni ya Tesla na Space X awajatoa tarehe rasmi ya kufika kwake ila kwa taarifa waliyotoa ni kuwa inakaribia kuwasili
- madhumuni makuu ya safari io ni kufanya exploration Kwenye anga la mbali huenda wakapata taarifa za Aliens [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-Ndani ya gari kuna mwanasesele kama anavyoonekana Kwenye picha
-Kampuni ya Tesla na Space X awajatoa tarehe rasmi ya kufika kwake ila kwa taarifa waliyotoa ni kuwa inakaribia kuwasili
- madhumuni makuu ya safari io ni kufanya exploration Kwenye anga la mbali huenda wakapata taarifa za Aliens [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
marekani bhana si walimkamata mmoja si angewapa location au ilikuwa fix
 
Back
Top Bottom