Test your airbag here!

Test your airbag here!

Mpinduameza

Member
Joined
Aug 6, 2022
Posts
50
Reaction score
99
Huwa naona maneno hayo yameandikwa kwenye trela za magari makubwa naamini wengi wetu tumeona pia.

Yawezekani ni kichekesho ila kwangu naona kuna maana kubwa kwenye huo msemo suala ni uimara wa chombo chako endapo utagonga hilo trela ama utagongwa kwa mbele yaani uso kwa uso (head on crash or collision) au ubavuni .

Great thinkers ambao mko hapa na tech specialists nataka kujua Tanzania tuna car crush lab? Au tunafanya head on collisions tests ili tujihakikishie aina ya magari tunayoleta hapa tutakuwa salama endapo hali hiyo itajitokeza?

Na kwa nini basi wataalamu wetu wa ukaguzi wa magari wasifanye sampling ya aina kumi au ishirini za magari tunayoletwa zaidi hapa kwetu? Ningependa kuhudhuria hiyo crash test nichague vema aina ya gari kulingana na viwango vyake vya usalama.
 
Hiyo iwe Kwa magari mapya, hayo magari second hand mengine yanakuja hata kutembea mtihani unataka utest airbag.
 
Huwa naona maneno hayo yameandikwa kwenye trela za magari makubwa naamini wengi wetu tumeona pia.

Yawezekani ni kichekesho ila kwangu naona kuna maana kubwa kwenye huo msemo suala ni uimara wa chombo chako endapo utagonga hilo trela ama utagongwa kwa mbele yaani uso kwa uso (head on crash or collision) au ubavuni .

Great thinkers ambao mko hapa na tech specialists nataka kujua Tanzania tuna car crush lab? Au tunafanya head on collisions tests ili tujihakikishie aina ya magari tunayoleta hapa tutakuwa salama endapo hali hiyo itajitokeza?

Na kwa nini basi wataalamu wetu wa ukaguzi wa magari wasifanye sampling ya aina kumi au ishirini za magari tunayoletwa zaidi hapa kwetu? Ningependa kuhudhuria hiyo crash test nichague vema aina ya gari kulingana na viwango vyake vya usalama.

Sasa aibag ikifumuka then utairudisha vp[emoji28]

Anyway nachojua mimi kuna sensor ipo mbele chini ya engine imeandikwa SRS airbag ile inadetect collision impact ndo inaamua air bag zifumuke
 
Back
Top Bottom