Testimony: 1000 years in the world of darkness (1)

Mkuu vizuri kwa kunielewa napia kuongezea kile unachokijua.
 
Big up kwa kunielewa vyema nakuongezea knowledge yako yenye utambuzi mzuri kuhusu haya masuala ya kidini yanavyowafunga watu kwenye uongo na kushindwa kujua upendo wa Mwenyezi MUNGU ulio kwenye ukweli.
 
Fact fact fact!!!!... umenena mkuu...God is not religion and religion is not God..
Hiki ndio nilichokua nasema,tokea mwanzo maana siku zote kile watu wanachokidharau huwa ndio ukweli lakini kile wanachokiamini ndio uongo kabisa, tena hii ukiwa na nia ya kweli kutoka moyoni na ukafanya research, basi mda utaongea maana taratibu utanza kuona uhuni uliopo kwa hizi dini.
 
wew ndio mmiliki wa hili andiko?. kama sio basi angalau utoe credit kwa original author. usisubiri mpaka watu wakuaibishe.
 
The
Now why the whole story insist of Jesus christ and we all know Jesus christ used only by christianity.
Ki uhalisia ni ushuhuda ulioeleza vizuri jinsi falme za kishetani zinavyofanya kazi ila kutaja jina fulani ndilo lilimsaidia nahisi tunarudi kulekule kwenye mwamba ngozi..., especially ukichimbua how that name was created by roman empire hapo ndo ukakasi unapoanzia
 
Mpendwa Bora kutii maana ukitii hauwezi kuangamia Kwa kutovaa dhahabu ,Ila ukja kuskia utaingia moton Kwa kutotiii itakua kilio kikubwa zaidi..
 
Umesoma comments zote ?
shida ni kusoma comment zote au kusoma article yote?. what do you prefer? , choose for me please.

NB:i have gone through the whole article, i have seen you nowhere declaring whether it's yours or not.
 
shida ni kusoma comment zote au kusoma article yote?. what do you prefer? , choose for me please.

NB:i have gone through the whole article, i have seen you nowhere declaring whether it's yours or not.

Kwenye comments watu waliuliza swali kama lako na nikatoa majibu so go through those comments..kama utaona haujaridhika fanya unaloona kwako linasaidia ata ukileta source ya shuhuda hizi sio mbaya unakaribishwa pia [emoji4]
 
Ninao huu ushuhuda wa Fumilayo toka Nigeria. Ni ushuhuda mzuri na unaojenga kwa kweli. Mungu akubariki kwa kuuweka hapa.
 
Kwenye comments watu waliuliza swali kama lako na nikatoa majibu so go through those comments..kama utaona haujaridhika fanya unaloona kwako linasaidia ata ukileta source ya shuhuda hizi sio mbaya unakaribishwa pia [emoji4]
Ushuhuda wa Dada Fumilayo toka Nigeria. Ni ushuhuda mzuri sana.
 
Kuweni makini na hawa wanaosemekana kupata maono na kuwaletea shuhuda zao.

Ukiwafuatilia hawa wote wanaoleta hizi shuhuda utapata mikanganyiko mingi sana.

Wao hudai walikutana na Nguvu za Mungu na wanatusihi tuokoke lkn chaajabu yale waliyokutana nayo huko ktk maono yao yanakinzana na Maandiko ya biblia wanazotusihi tuzisome.

Mfamo huyo jamaa anasema ukifa ni hukumu lkn Biblia anayotusihi tuisome inasema ukifa hakuna liendelealo ni usingiz mpka siku ya hukumu ya pamoja yaan ufufuao wa watenda mema na baadae ufufuo wa watenda maovu watakapo hukumiwa pamoja na shetan.

Pia jamaa anasema alifufuliwa baada ya kufa kwa kitambo lkn biblia inasema huwez kufufuka mpka Ufufuo wa Yesu, je huyo jamaa huoni anapingana na imani yake?

Pia ukifuatilia shahidi za watoa ushuhuda wanaosema walipitia mambo kama ya huyo jamaa utagundua wote wana stori zinazokinzana.

Yaan huyo anasema alikutana na yesu yuko hiv, mara mwngne atasema alikutana na yesu yuko vile, mwingne anasema alikuwa kuzimu kwa kupata cheo cha umalikia wa kuzimu kwa muda fulan, wakati huo huo ukisikiliza shuhuda za mwingine atakwambia ane alikuwa malikia wa kuzimu kwa muda fulan, je tumuamini nani na tumuache nani?

Na kuna hii kasumba ya watoa shuhuda kusema kwamba alipokuwa mshirikina alisababisha ajari sehemu fulan na kuuwa watu kiasi fulan, lkn ukienda kuchunguza hiyo ajar utakuta kumbe chanzo chake hakileti maana kuwa kilisababishwa na nguvu za giza, pengine ulevi, miundombinu mibaya, uzembe, haiishii hapa pia ukimsikiliza mtoa shuhuda mwingine anaesema alikuwa mshirikina utamsikia nae akiitaja hiyo ajari kuhusika nayo, wakati huo kuna mwingine ulimsikia alisema alihusika na hiyo ajari JE TUMUAMINI YUPI?

Yaan jambo moja limetendwa na watu tofaut kwa sabbu tofaut na kila mtoa shuhuda na mambo yake, yaan hawatoi shuhuda za kumake sense.

KIUFUPI ni kwmba kuna viumbe ambao kazi yao ni kuwapagaa watu kishirikina na kuwapa Maono ya uongo kuhusu MUUMBA, pia kuwafanyia mazingaombwe ya akili kwa kuwahadaa kuwakutanisha na Yesu sjui malaika huu ni uongo.

Nyakati zetu hakuna na hakuna aliyewahi kukutana na malaika akaishi, na hatuna nguvu wala uwezo wa kwenda mbingun, zaidi ya hayo mazingaombwe na mashuhuda ya wahuni waliopagawa na pepo, kuja kutuletea Vitisho vya kipumbavu.

Huyo jamaa yenu aliyeishi miaka1000 mleteni tumtandike maswali ya ufahamu na uwakika hawezi kuyajibu maana alipagawa kwa kufanyiwa mazingaombwe ya maono ya uongo, hayo maono ya mashetan ndyo wanayowapa wachungaji zenu makanisan na misikitini.

NARUDIA TENA kizaz chetu hakuna aliyewai kumuona kristo, hakuna aliyewai kumuona malaika wa kwel, achana na hayo mashetan yanayojibadili tabia kujifanya NURU kumbe ni giza, hakuna aliyewai kwenda mbingun na hakuna aliyepo Motoni kuungua maana HUKUMU bado muda wake haujafika, hao mnaosimuliwa wapo motoni ni Maono ya uongo mnayopewa na mashetan ambayo ndyo huongoza harakati za manabii wa Uongo na Chapa ya 666.

Acheni kuogopa, Moto haupo wala jehanam hakupo kama mnavyotishwa, Chamuhimu tenda mema na Uamini Kuna Muumba FULL STOP ajuaye maisha baada ya kifo ni MUUMBA PEKEE NA ALIYE KUFA TU, NA SI MWINGINE, hata shetana na Nguvu alizo nazo hana ubavu wa kukuamulia pa kwenda baada ya kufa na hana ubavu wa kukufufua labda kama ulikufa kimazingara.
 
Inakuwaje, kuna yule alikuja duniani akaolewa na jamaa aliehukumiwa kabla hajazaliwa lakini alikuwa ni roho ya kishetani, hata alipotubu Mungu hakumkubali, lakini yeye alifariki na kuchukuliwa huko katika Kingdom of darkness na kuandaliwa kwa mamia ya miaka amekubaliwa kufanya kazi ya Mungu?
Nini kilitokea hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…