Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 363
Hivi yupo mwanamke yeyote hapa duniani ambaye amewahi kuolewa na maraisi wa nchi mbili tofauti kama huyu mama? Was just wondering what it would mean to any woman to 'get it on' with two different head of states!
Nice weekend.
Tehe, tehe, tehe, koooooh! Usinivunje mbavu, japo siongelei wanaume hapa, naongelea wanawake.I like it... i though every man has two heads of state sometimes! depending on how you look at it
Ilikuwa bahati yake Mama Graca Mashel aliyekuwa mke wa Rais wa Msumbiji halafu Mzee Mandela akamuoa alipotengana na Winnie wakati akiwa Rais wa Afrika Kusini. Ni bahati kuu kweli maana sijui iwapo yupo mwengine duniani aliyebahatika hivyo.
We can only say she was luck if she was not the course of her abandonment to her former husband otherwise she is just a prostitute and it shouldn't be something for other ladies to learn from
Namtafuta shishi jamani -- weekend baridi -- mvua itakuja -- ntashindwa kutoka -- baridi baridi -- shishi shishi
Hivi yupo mwanamke yeyote hapa duniani ambaye amewahi kuolewa na maraisi wa nchi mbili tofauti kama huyu mama? Was just wondering what it would mean to any woman to 'get it on' with two different head of states!
Nice weekend.