Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Una ED mkuu? nimesoma sehemu wanasema kuna some side effect kama kuota matiti, kuongezeka uzito n.k. Kama issue ni ED, mwandishi wa ED protocol anasema ni % ndogo sana ya ED inasababishwa na low T.
Pole brother wahanga tupo wengi siku moja tutakuwa wataalamu wa tiba, kama mimi nahangaika day and night kupata tiba ya uhakika, naweza kukutumia copy ya ED protocol usome some unaweza pata some ideas kwa ajili ya afya yako.