Majiria ya saa saba na dakika ishirini na moja hivi (7:21) leo tarehe 5 June 2024 limepita tetemeko dogo la ardhi hapa Moshi vijijijji maeneo ya Kilema (haijajulikana maeneo mengine).
Mtikiso huo uliodumu kwa sekunde moja hivi haukuwa na madhara yoyote na hata hivyo kuna uwezekano kuwa watu wengi hawakuweza kuugundua. Meza zilitikisika kidogo na kenchi za paa la nyumba kutoa mlio wa mtikisiko. Tunasubiri seismic station kutupa taarifa zaidi za vipimo vya mtetemo huo.
Pia soma:
Mtikiso huo uliodumu kwa sekunde moja hivi haukuwa na madhara yoyote na hata hivyo kuna uwezekano kuwa watu wengi hawakuweza kuugundua. Meza zilitikisika kidogo na kenchi za paa la nyumba kutoa mlio wa mtikisiko. Tunasubiri seismic station kutupa taarifa zaidi za vipimo vya mtetemo huo.
Pia soma:
- Tetemeko la ardhi 14:57Hrs lapita mkoani Tabora
- Tetemeko dogo la ardhi limepita Moshi majira ya saa 7:21 mchana
- Tetemeko dogo la ardhi limepita Moshi majira ya saa 7:21 mchana
- Morogoro: Tetemeko la Ardhi limepita kati ya saa 12:31 - 12:32 mchana
- Tetemeko dogo la ardhi limepita Moshi majira ya saa 7:21 mchana
- Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania
- Tetemeko la ardhi la takribani sekunde Moja limepita mkoani Arusha na Manyara
- Tetemeko la ardhi latokea Dodoma, Singida
- Morogoro: Tetemeko la Ardhi limepita kati ya saa 12:31 - 12:32 mchana
- Tetemeko la Ardhi Kintinku
- China: Tetemeko la Ardhi laua Watu 116
- Afghanistan yakumbwa na tetemeko la ardhi la tatu ndani ya wiki moja
- Mikoa 11 iliyoko hatarini kukumbwa na Tetemeko la Ardhi
- Tetemeko la ardhi latokea Dodoma, Singida
