Engineer Mohamed
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 451
- 11
nipo naangalia runinga ITV naona kuna TETEMEKO la ardhi huko china.
naamini kwa uwezo wake mola,watanzania wenzetu wote kwa ujumla wako salama.
najaribu kumtafuta mdau mmoja wa JF aliyeko huko china atupe news zaidi.
Kwenye breaking news walisema hakuna alofariki lakini sasa hivi Al- jazeera wanasema karibu watu mia tano wamekufa.
Naona hapa JF idadi tayali imeanza kuongezeka ni kkijumlisha kwa haraka haraka tayari wamefikia 50,000 ,si unajuwa kwa China huenda ikawa wanashukuru wakati nyie mnasikitika.
Habari zenuKuna WaTanzania wangapi huko CHENGDU?
Balozi wetu bwana RAMADHANI MAPURI ana react vipi kuhusu kujua hilo
mliopo China hebu tuleteeni latest