E Engineer Mohamed JF-Expert Member Joined Jul 27, 2007 Posts 451 Reaction score 11 May 19, 2008 Thread starter #21 nasikia zaidi ya watu 35,000 wamekufa, na inasemekana kuna zaidi wengine.
M murra wa marwa Senior Member Joined Apr 24, 2008 Posts 150 Reaction score 2 May 19, 2008 #22 Mwenyezi Mungu atuepushe na baraa kama hili na awapumzishe waliotangulia panapowastahili. inasikitisha sana, tena sana. Mungu Mkubwa harooo
Mwenyezi Mungu atuepushe na baraa kama hili na awapumzishe waliotangulia panapowastahili. inasikitisha sana, tena sana. Mungu Mkubwa harooo
B Baba Lao Member Joined May 12, 2008 Posts 40 Reaction score 25 May 19, 2008 #23 majeruhi ni zaidi ya 230000.pia zimetokea after shock nyingi kama 130 .zina ukubwa wa 5.moja imefukia watu 2000.na nyingine zimejeruhi watu hapa na pale.
majeruhi ni zaidi ya 230000.pia zimetokea after shock nyingi kama 130 .zina ukubwa wa 5.moja imefukia watu 2000.na nyingine zimejeruhi watu hapa na pale.