UDSM, viongozi wake sasa wamezidi kukumbatia siasa, sioni 7bu za msingi kuwafukuza wale vijana, au kosalao ni kusema ukweli. Wamenisikitisha na kunihuzunisha sana. tafadhari wasikifanye ni kama sec
Bora kifungwe tu.. sasa kama hakuna wawakilishi wa serikaali ya wanafunzi tunategemea nini? mi niechoka na utawala wa huku. Yaani sem'ster imepita kiajabuajabu tu. Pease of sh*t
Na sasa hivi kuna tetesi kuwa viongozi waliofukuzwa wanakuja mabibo kulianzisha varangati. Adhabu iliyowekwa nachuo juu ya viongozi imesababisha wanachuo kuongeza hasira na kuamua kufanya lolote liwalo kwa sababu chuo hakina demokrasia tena.
bora chuo kifungwe tu!! tutkandamizwa hadi lini?serikali imekalisha ****** tu lakini haitoi suluhu! kilichopo ni kwamba ofisi zote wa zichomwe na mukandara achomwe,****** huyu. mbona wao hawajafukuza baada ya kugoma baada ya vijimishahara yao kuchelewa?
Varangati tu ndo dawa ya ccm na serikali yake jeuli kiburi na rais wao legheleghe. Nchi imejaa uongo na udanganyifu kila kiongozi na kila idara. Km kikwete anaweza kuwaambia watz kuwa hawajui richmond wala dowans alafu fisadi mwenzie akawaambia watz tena mbele yake kuwa kikwete fisadi na ndio ukweli ubadhani kikwete kuna cku atakuja kukemea mafisadi?