Tetesi: TETESI; askari wawili watoroka mikononi mwa waasi.

Tetesi: TETESI; askari wawili watoroka mikononi mwa waasi.

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Tukio ambalo lilitokea juzi huko Congo inasemekana kuna vijana walitekwa.
UFAFANUZI: Jumla walikua wanne (sina uhakika) mmoja alitaka kuwatoroka wakati wanaondoka nae ghafla walimpiga risasi na kupoteza maisha hapo hapo.

Wawili jana walitoweka mikononi mwa ADF ( jinsi walivyotoka sifaham). Ila jana walifika kambi kuu mjini Beni wakiwa wamechakaa sana sana sana.
Mmoja mpaka sasa haijafahamika inakua

Swali la kujiuliza; iweje wakamatwe watatu wawili watoke mmoja abakie?
Hisia zangu kuingia mikononi mwaka wale jamaa kutoka salama si rahisi. Nahisi walijificha sehemu tangia juzi. Huyo mmoja ndo katekwa maana hajaonekana.
 
Tukio ambalo lilitokea juzi huko Congo inasemekana kuna vijana walitekwa.
UFAFANUZI: Jumla walikua wanne (sina uhakika) mmoja alitaka kuwatoroka wakati wanaondoka nae ghafla walimpiga risasi na kupoteza maisha hapo hapo.

Wawili jana walitoweka mikononi mwa ADF ( jinsi walivyotoka sifaham). Ila jana walifika kambi kuu mjini Beni wakiwa wamechakaa sana sana sana.
Mmoja mpaka sasa haijafahamika inakua

Swali la kujiuliza; iweje wakamatwe watatu wawili watoke mmoja abakie?
Hisia zangu kuingia mikononi mwaka wale jamaa kutoka salama si rahisi. Nahisi walijificha sehemu tangia juzi. Huyo mmoja ndo katekwa maana hajaonekana.

Hizo ni hisia zako tuu kaa nazo wao wanajua ukweli
Hisia zako zinaweza kukwambie we ni mjinga na mpumbavu...je utasema tujadili??
 
Sioni hata mantiki ya kuwaacha askari wetu kule, nadhani muda umefika wa kuwarudisha ndugu zetu nyumbani...
 
Sioni hata mantiki ya kuwaacha askari wetu kule, nadhani muda umefika wa kuwarudisha ndugu zetu nyumbani...
Si kwamba wanalazimishwa kwenda,hilo ni dili kubwa kwa askari wetu na wanagombania hadi kuroga kwenda huko. Wakirudi bongo na madolali ya kutosha,nyumba na magari wananunua.
 
Si kwamba wanalazimishwa kwenda,hilo ni dili kubwa kwa askari wetu na wanagombania hadi kuroga kwenda huko. Wakirudi bongo na madolali ya kutosha,nyumba na magari wananunua.
....wanagombania na kuroga kwenda nchi kama Jordan na nch nyingine zenye usalama zaidi, lkn kwa Kongo na Sudan usalama mdogo mno...
 
Back
Top Bottom