kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 539
- 340
Nimemsikia boss moja wa kampuni ya bia akimshauri mteja wake aliye taka ushauri kuhusu bia zilizo maliza muda wa matumizi kwa binadamu. Alimshauli achanganye hizo mbovu na zilizo kuwa nzima kisha afanye promotion ikiambatana na punguzo la bei. Imenifanya niamini kuwa promotion zote zipo kwaajiri ya kuuza sumu kwa binadamu.