Ule mwendelezo wa Wanachma wa cha mapinduzi kuipenda kilabu ya Yanga inazidi kujidhihirisha, na awamu hii kuna tetesi kuwa billionaire aliyejizolea umaarufu siku za hivi karibuni Dr Luis Shika amepanga kumwaga mabilioni yake kwa klabu ya Yanga SC.
Mtakumbuka kuwa billionaire huyu alitaka kununua nyumba za Lugumi kwa mabilioni ya fedha, na hata alipoalikwa kwenda Kwenye mahafali huko Shinyanga aliahidi kutoa zaidi ya bilioni tatu Tshs.
Kama tetesi za hizi ni kweli basi mahasimu wao simba inayofadhiliwa na Mo Dewji kwa sasa wategemee upinzani mkubwa katika soka
Ngoja tusubiri tuone