junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 978
Wana msimbazi leo mitaa ya jioni ilinikutia kariakoo mitaa ya msimbazi ,nikaona kijiwe cha kahawa cha wanachama wa simba nikaamua niende kujumuika nipate vikombe 3 vya kahawa ili nichangamshe musuli na nguvu ya kuhimili foleni na kurudi nyumbani na pia kahawa ina msaada kuchelewesha bao kwa sie tulio oa na kulinda heshima .
Sasa wakati na kunywa kahawa vikao na maneno yalikuwa yanasemwa mpaka hamu ya kuendelea kunywa kahawa iliniishia .
Kwa niliyoyasikia kama kocha Joseph Omog akibakia simba na Tanzania kwa masaa 18 ijayo nitaenda kutoa haja kubwa mitaa ya magogoni
Sasa wakati na kunywa kahawa vikao na maneno yalikuwa yanasemwa mpaka hamu ya kuendelea kunywa kahawa iliniishia .
Kwa niliyoyasikia kama kocha Joseph Omog akibakia simba na Tanzania kwa masaa 18 ijayo nitaenda kutoa haja kubwa mitaa ya magogoni