🤣 🤣 🤣 kabisa. Ndio sababu lazima waalike kikosi kipana cha bongo fleva ili kukusanya watu kwa shoo za bure kabisahakuna mtu anaye penda aibu
ni full laana yan🤣 🤣 🤣 kabisa. Ndio sababu lazima waalike kikosi kipana cha bongo fleva ili kukusanya watu kwa shoo za bure kabisa
tatizo ccm hawajiamini wenzao walijiamini na wakafanikiwa kwa 100% ijapokuwa siku iyo palikuwa na ARUSHA FESTIVAL NA PALIKUWA NA MPIRA WA SIMBA NA AFC ila chadema walijiamini katika sera zao ila ccm wao wanalala wakijiuliza tunapata wapi watu kama vile hawajawai fanya jambo lolote katika nchi hii ila waswahili walisema kizuri chajiuza kibaya chajitembezahakuna mtu anaye penda aibu
Kongamano limearishwa mpaka jumapili uwanja walikuwa wanategemea kutumia ndo huo wanautumia CCM kesho kuzindua kampeni ni upuuzi sana kuzuia kongamano la kuabudu kwa sasa siasa kwani CCM hawakuona sehemu nyingine kuzindua kampeniWadau kesho Jumamosi Sept 5 katika jiji letu la Arusha tulikuwa tuwe na kongamano la kiimani linaloendeshwa na redio Safina
Vile vile siku hiyo ya kesho CCM wanatarajia kuzindua kampeni za Ubunge huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Kasim Majaliwa
Hata hivyo kongamano la dini limelazimishwa kuahirishwa kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kupisha tukio hilo la kampeni na kutoa fursa watu waelekee huko
Kwa muktadha huu matukio ya kiimani hayana nafasi kubwa katika jamii labda baada ya kampeni kuisha
Ila ingekua CHADEMA ndio inafanya hiyo kesho mngesema CCM imeandaa hilo kongamano ili msipate watu, jamani hebu jaribuni kuwa positive wakati mwingine, msiwe walalamikaji kwa kila jambo.Lakini Lissu alipo kuwa Arusha Dc!/Rc waliweka tamasha la muziki Kilombero na mpira wa Simba na Afc ili Chadema wasipate watu.
Safina iko kilomita saba toka Ccm watakapo fanyia uzinduzi wao. Lakini ile ya Chadema walikuwa 500m na ulipo kuwa mkutano na tamasha. Huu ni upuuzi na hatuja sikia lolote toka tume. Hizi hujuma zita endelea kutupa hasira. Hatuendi kwenye kampeni za Ccm na hututawapa kura.
Mbona walifanya hivyo last week? Waliweka mechi ya Simba na muziki wakati wenzao wana kampeniIla ingekua CHADEMA ndio inafanya hiyo kesho mngesema CCM imeandaa hilo kongamano ili msipate watu, jamani hebu jaribuni kuwa positive wakati mwingine, msiwe walalamikaji kwa kila jambo.
Msiwashitue, waacheni wamchokonoe hadi Mungu, wanachokitafuta watakipata.Kongamano limearishwa mpaka jumapili uwanja walikuwa wanategemea kutumia ndo huo wanautumia CCM kesho kuzindua kampeni ni upuuzi sana kuzuia kongamano la kuabudu kwa sasa siasa kwani CCM hawakuona sehemu nyingine kuzindua kampeni