Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
..vipi wakulu kuna habari yoyote mpya katika masaa 24 yaliyopita kuhusu mmoja wa hawa wakuu au wote.....search..search.....
maana taarifa za fununu si vema wakati ..jf ina mkono mrefu!!
..just coincidence ..namimi kuna tetesi za ajabu nimezipata...sijapenda kuandika ni nini..naamini atatokea mtu anaweza kuwa na taarifa za uhakika zaidi miongoni ,mwetu..
..ila kama ni hivyo ..hali inatisha..ndio maana namimi nimepost thread imeingia na hii pamoja ..nauliza..karamagi??..chenge??
kama nakusoma vizuri yaelekea fununu ulizopata zinatisha zaidi.
Sidhani kama kweli kanywa sumu kwani kuwa na PAUNDI MILIONI 15 kwenye account si sababu ya kujua considering mapesa ambayo MKAPA na MKEWE nasemekana waliiba
thats peanuts....
Ila kuna ka WITCH HUNT kanaendelea na na naona ile inner circle inaanza ku crack
Change kama alikuwa na accountants wazuri sidhani kama atakuwa na wasi wasi na kama angkuwa na akili za kuficha pesa zake CHINA sidhani kama yote haya yangetokea
Anyway its still developing...
.......kweli !!..zangu zinasema wote wawili..niiliotaja kwenye thread yangu ambayo ishaunganishwa hapa..tusubiri tuone...
hapa hakuna kulala hadi tujue nini kinaendelea...