Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Yoyote anayetaka kumwaga upupu anaishia Lugalo mnakumbuka mbunge aliyetaka kuwachoma wauza unga? Heri yake Balali alikimbia mapema ingawa walitaka kumwahi huko huko alikokimbilia.
Ukianza kula nyama ya binadamu huwezi kuacha CCM wameonja hiyo nyama sasa hawawezi kuacha tutaona mengi mwaka huu.
Hivi online media za bongo hawana "breaking news" initiative kabisa?
Wanakuwa hawana tofauti yoyote na print media sasa.
Dua, Icadon, Insurgent, kafara, Kakalende, kakindomaster, Mama, Mtindiowaubongo, mwanatanu, QM, Richard, siWA baRAFU, Susuviri,Zanaki
naona wote mko online
safi sana
Dua, Icadon, Insurgent, kafara, Kakalende, kakindomaster, Mama, Mtindiowaubongo, mwanatanu, QM, Richard, siWA baRAFU, Susuviri,Zanaki
naona wote mko online
safi sana
What a coincidence, jk kuingia bongo na vijisenti kunywa/nyweshwa sumu!
Tumwombee MUNGU JAMANI....Besides,we need him ALIVE
Dua, Icadon, Insurgent, kafara, Kakalende, kakindomaster, Mama, Mtindiowaubongo, mwanatanu, QM, Richard, siWA baRAFU, Susuviri,Zanaki
naona wote mko online
safi sana
Heshima yenu wakubwa,
Hapa chief umeongea kitu cha maana sana.. We need such kind of people alive ili kuweza kutatua utatanishi kuhusu hayo mafwao waliokimbizia nnje. Kwa sababu tujiulize kitu kimoja, kwamba iwapo KIZITO ashakhum si matusi(ASM) akatutoka, ina maana ndio hatuna wa kumshtaki? na pili hiyo miBILIONI tutairecover vipi. We really need this guy alive and foremost healthy..!! Mungu amjalie apone haraka iwezekanavyo..!!
......I dont know what, they
want from me
Its like the more money we come across
The more problems we see....
(repeat 2x)
Bongo chickeeeeeeennnnsss have come home to rooooost.....kwikwikwiiii (whatever sense that makes)